Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 3,086
- 2,129
Hakuna aliyeuza na mwenye uwezo wa kuuza bandari, imekodishwa kwa kipindi cha miaka 30.Kuuzwa bandari ....wewe unasemaje ? Tuamzie hapo
Hakuna aliyeuza na mwenye uwezo wa kuuza bandari, imekodishwa kwa kipindi cha miaka 30.Kuuzwa bandari ....wewe unasemaje ? Tuamzie hapo
Kwa Nini wakati serikali ndo wanaosajili makanisa. Ukosali maana yake unaouwezo wa kulifuta
sio kweli kiongozi wa nchi angekuwa RC musingeongea kabisa ila yeye ni muislamu isitoshe munachuki dhidi ya waarabu na sababu kuu ni dini yao hakuna lingine hao waarabu wangekuwa ni maa RC tusingelisikia chochote acheni chuki zimeshapitwa na wakatiKwahio kama Raisi yupo na katiba ipo akifanya mambo ya hovyo asiambiwe au watu wasilalamike kwa sababu nchi iko kwenye mwamvuli wa demokrasia au sio? Stupid mofo!
Hao TEC wasingeingilia kama bunge lingefanya kazi yake kiweledi. Taasisi zote zinafanya kazi kichwa. unategemea nini hapo?
Tuseme ishalla 🤣🤣Maaskofu wakiona picha yenye hijab ktk afisi zao roho zinawauma wnatamani wapasuke. Allah ni muweza. 2035 haipo mbali
hao mashekhe unaposema wanamikutano yao na maudhui yao ni dini tu ama ujenzi wa misikiti hawaijadili kuhusu serikali na maamuzi yake maana serikali imeshikilia mihimili yote balaa la njaa mafuriko janga lolote serikali ndio mhimili mkuu sio taasisi za kidiniBinafsi sioni tatizo lolote maaskofu kujadili chochote kama wanaona kuna dosari wawe huru kupinga ,pia kuleta maoni ya kubadili chochote.
Nchi hii dini kuu ni mbili mbona mashekhe wanamikutano yao miskitini na hatuleti inshu , tuwape ndugu ze2 nao vilevile wafanye mikutano yao , ndo demokrasia hio
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mamlaka inayongia madarakani kwa wizi wa kura ina uhalali gani boss? Hakuna anayezuia muumini kwenda popote atakapo. Hivyo hata akiwa mlokole huo ni uamuzi wake.Basi ni kanisa la mashetani siyo kanisa la mungu. Kanisa la mungu wanatii ma.laka kama iliyoainishwa kwenye biblia ndo mana walokole wanazidi kuwa wengi na wanatoka hukohuko kanisa katoliki baada ya kugundua Hilo siyo kanisa Bali ni usanii tu
Hili kanisa sasa litaka chokochokoHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Wapuuzi sana walimletea dharau rais SSH wakimuona ni mwanamama, wakasahau kuwa aliapa na akaushika msahafu siku ya kiapo.sio kweli kiongozi wa nchi angekuwa RC musingeongea kabisa ila yeye ni muislamu isitoshe munachuki dhidi ya waarabu na sababu kuu ni dini yao hakuna lingine hao waarabu wangekuwa ni maa RC tusingelisikia chochote acheni chuki zimeshapitwa na wakati
GENTAMYCINE ana akili kumzidi huyo jamaa yako.Kati ya wanaccm wachache wenye akili ambao chama kinawamiliki!!
Unaongea Kama umekatwa kichwa.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Samia hana uwezo wa kulifuta Kanisa maana hakulianzisha.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Chezea vingine vyote Duniani siyo Kanisa RC.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Majambazi ya Nchi kwa jina
Punguza chuki juu ya imani ya wengineMajambazi ya Nchi kwa jina la Kanisa
Tuokeni jamani, mungu tuokoe kwani shetani na genge la matapeli Tanzania wanatuumizaHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Shetani na genge la matapeli Tanzania wanauza nchi. Maaskofu tuokoeni jamani. Mungu tuokoeHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Kwa hiyo usipokuwa na nguvu hata kusema kibovu huwezi?Yangu macho tuone dini na serikali nani mwenyewe nguvuView attachment 2802808
Kanisa halijawahi kunyamazia uovu.Kanisa waseme wazi kama kunamaslahi yao yamefutwa waache ulaghai mikataba mibovu mingi tumeingia nyuma huko mbona walikuwa kimya bandarini tunapigwa wao kimya
Sikutegemea kama Kuna ng'ombe kama hizi Karne hii.Wewe ni mpumbavu na upumbavu wako umekuponza tayali.
Kanisa ni mwili wa Kristo, Kristo ndiye kanisa, kanisa siyo jengo.Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'