Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 838
- 953
Kwenye nafasi hizi kuna ile ya kada ya afya ambayo ndani yake ipo nafasi ya ustawi wa jamio daraja la II.
VIGEZO: Uwe umesomea social Works, sociology, na related education concerned post hiyo.
Sasa kwenye kuapply nafasi hiyo, kuna ile sehem ya kuchagua lovel ya elimu yako pale. Cha ajabu wameweka
Degree(health), Advanced diploma (health) etc
Sasa hiyo health inataka nn hapo ilowa mm nina degree ya Community Development tu,
Je, hapo tunafanyaje?
VIGEZO: Uwe umesomea social Works, sociology, na related education concerned post hiyo.
Sasa kwenye kuapply nafasi hiyo, kuna ile sehem ya kuchagua lovel ya elimu yako pale. Cha ajabu wameweka
Degree(health), Advanced diploma (health) etc
Sasa hiyo health inataka nn hapo ilowa mm nina degree ya Community Development tu,
Je, hapo tunafanyaje?