Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Unajua Kanisa linaidai sirikali vyuo na shule ngapi ambazo Nyerere (mkatoliki mzuri) alitaifisha miaka ya 60 kwa lengo moja tu la kuwaokoa waislamu wasije wakaachwa nyuma mno na wakristo kimaendeleo? Unajua historia hiyo?
Bado mnataka kujilimbikizia tu.Hamtosheki ?
 
Mnashangaa hospitali za kanisa kuwalipisha wananchi gharama za huduma, lakini hamshangai serikali inayochukua kodi na tozo toka kwa mwananchi huyo huyo bado analipishwa gharama za huduma.

Kama mnaona hizo hospitali za kanisa gharama ipo juu, nani aliyewalazimisha muende huko? au aliyewakata msiende pengine? tatizo hapa sio serikali wala kanisa, ni ujinga wenu wenyewe.

Kwanza mna hakika hizo pesa za kusaidia huwa wanatoa zote kwa makanisa kama walivyokubaliana? serikali huwa haitoi pesa zote, ni hayo makanisa ndio yanajiongeza ili kufidia pengo la gharama linalojitokeza.

Mwisho, bandari zetu watanganyika mtazitema tu, msituletee ujinga wa udini ili kukwepesha malengo, hakuna anayedanganyika, mkataba wa hovyo wa bandari lazima uvunjwe, hatuwezi kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu.
 
Ni hoja ya kijinga na ji upuuzi mtupu,mie juzi nilipeka binti yangu bugando,anashida ya kansa,nimetumia tsh 1732000/= laki 700000/.ni ruzuku ya serikali.kwa maana nimepewa dawa bure na serikali.hospital ya bugando inaongozwa kwa ubia na serikali. Sijui kwa mtizamo wako serikali pale imeuza nn cha wananchi?
 
Mnashangaa hospitali za kanisa kuwalipisha wananchi gharama za huduma, lakini hamshangai serikali inayochukua kodi na tozo toka kwa mwananchi huyo huyo bado analipishwa gharama za huduma.

Kama mnaona hizo hospitali za kanisa gharama ipo juu, nani aliyewalazimisha muende huko? au aliyewakata msiende pengine? tatizo hapa sio serikali wala kanisa, ni ujinga wenu wenyewe.

Kwanza mna hakika hizo pesa za kusaidia huwa wanatoa zote kwa makanisa kama walivyokubaliana? serikali huwa haitoi pesa zote, ni hayo makanisa ndio yanajiongeza ili kufidia pengo la gharama linalojitokeza.

Mwisho, bandari zetu watanganyika mtazitema tu, msituletee ujinga wa udini ili kukwepesha malengo, hakuna anayedanganyika, mkataba wa hovyo wa bandari lazima uvunjwe, hatuwezi kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu.
Hapo kwenye tozo ni padogo sana.Watu yawezekana wanaona lakini wanavumilia kwa sababu pesa inaingia mfukoni kwa serikali na kwa namna moja au jengine mwishowe tutafaidika sote.Kwenye MOU ni kanisa peke yake na kujitanua
 
Pamoja na madudu ya mkataba wa bandari lakini ukweli usemwe, Huu mkataba wa Kanisa na serikali ambapo serikali imegeuka mtoa mtaji wa biashara za kanisa ni upendeleo wa wazi kinyume cha katiba inayokataza upendeleo kwenye matumizi ya resources za nchi.

Laiti huu mkataba ungekuwa ni kati ya serikali na taasisi za Kiislamu Kanisa lisingekubali

Kibaya Zaidi Kanisa halitaki serikali ijenge hospitali zake yenyewe mahali ambapo kanisa tayari lipo ili liendelee kutumia kodi za wananchi wote kustawisha baishara zake za huduma za afya. Hii ni kujaraibu kuinyang'anya serikali kuexert mamlaka ya sovereignty katika nchi kitu ambacho hakikubaliki.
 
Hospitali za misheni ndizo zilizowakuza bila hizo mngezaliwa kwenye majani ,serikali kwasasa ina hosptali nyingi hivyo kuna ulazima wa kureview hiyo MOU na kubakiza sehemu ambazo serikali haina hospital au ina huduma mbovu.
 
Pamoja na madudu ya mkataba wa bandari lakini ukweli usemwe, Huu mkataba wa Kanisa na serikali ambapo serikali imegeuka mtoa mtaji wa biashara za kanisa ni upendeleo wa wazi kinyume cha katiba inayokataza upendeleo kwenye matumizi ya resources za nchi.

Laiti huu mkataba ungekuwa ni kati ya serikali na taasisi za Kiislamu Kanisa lisingekubali

Kibaya Zaidi Kanisa halitaki serikali ijenge hospitali zake yenyewe mahali ambapo kanisa tayari lipo ili liendelee kutumia kodi za wananchi wote kustawisha baishara zake za huduma za afya. Hii ni kujaraibu kuinyang'anya serikali kuexert mamlaka ya sovereignty katika nchi kitu ambacho hakikubaliki.
Kanisa linajimegea maeneo ndani ya nchi halafu linaitunishia serikali isisogelee.
 
Kwani ni bure ?

Lengo la serikali kuingia mikataba na makanisa kwasababu hospitali nyingi zilikuwa za Misheni(Missionaries) lilikuwa ni lengo zuri sana , waarabu walivyokuja walijenga masinagogi tu ,kwakuwa mzungu alikuwa na akili nyingi alijenga shule ,hospitali na makanisa akawapiga bao waarabu.(ambao walijenga misikiti tu).

Waislam wengi walisoma shule za misheni na kubadili majina ,hata JKIkwete alisoma shule za kikristo.

Kwahiyo serikali kuwalipa TEC kwasababu ya kutumia miuondombinu yao siyo tatizo ,kama waislamu wanaona nongwa basi na wao wajenge hospital nao wapate fedha.
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Naunga mkono hoja 100%
 
Lengo la serikali kuingia mikataba na makanisa kwasababu hospitali nyingi zilikuwa za Misheni(Missionaries) lilikuwa ni lengo zuri sana , waarabu walivyokuja walijenga masinagogi tu ,kwakuwa mzungu alikuwa na akili nyingi alijenga shule ,hospitali na makanisa akawapiga bao waarabu.(ambao walijenga misikiti tu).

Waislam wengi walisoma shule za misheni na kubadili majina ,hata JKIkwete alisoma shule za kikristo.

Kwahiyo serikali kuwalipa TEC kwasababu ya kutumia miuondombinu yao siyo tatizo ,kama waislamu wanaona nongwa basi na wao wajenge hospital nao wapate fedha.
Akili za wazungu ndio hizo hizo za kanisa,kufisidi vya wenzao halafu kufanya vya kwao ndio mwisho wa kila kitu.Wazungu wana akili gani kuwazidi waislamu.
Kwa mara ya mwanzo walipokuja ukanda wa Afrika mashariki walishangaa kuona waislamu wako mbali sana wana madrasa zilizoenea kila sehemu(Kumbuka madrasa zilifanya kazi inayolingana na shule).Walikuta watu wanajua kusoma na kuandika na ilibidi wawatumie waislamu kukushanya kodi wakiandika kwa herufi za kiarabu. Mara walipojiimarisha kifedha wazungu chini ya ukristo wakawapiga chini waislamu.Hali ni hiyo hiyo wakati wa siasa za kupigania uhuru.
Waislamu waliposoma shule za misheni ilikuwa ni katika tabia zao za kupenda kujifunza na kufuata kuliko na haki zao hata zikiwa mbali.Ilibidi wafanye hivyo baada ya kunyang'anywa vyao na wazungu kwa hila Sio kwamba walifanya kwa kupenda.
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Bilioni 36,huwezi linganisha na uuzwaji wa bandari,kama vipi waislamu na nyie mjenge zenu,msilete mambo ya tukose wote

Jengeni na nyie


"Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?"
 
Akili za wazungu ndio hizo hizo za kanisa,kufisidi vya wenzao halafu kufanya vya kwao ndio mwisho wa kila kitu.Wazungu wana akili gani kuwazidi waislamu.
Kwa mara ya mwanzo walipokuja ukanda wa Afrika mashariki walishangaa kuona waislamu wako mbali sana wana madrasa zilizoenea kila sehemu(Kumbuka madrasa zilifanya kazi inayolingana na shule).Walikuta watu wanajua kusoma na kuandika na ilibidi wawatumie waislamu kukushanya kodi wakiandika kwa herufi za kiarabu. Mara walipojiimarisha kifedha wazungu chini ya ukristo wakawapiga chini waislamu.Hali ni hiyo hiyo wakati wa siasa za kupigania uhuru.
Waislamu waliposoma shule za misheni ilikuwa ni katika tabia zao za kupenda kujifunza na kufuata kuliko na haki zao hata zikiwa mbali.Ilibidi wafanye hivyo baada ya kunyang'anywa vyao na wazungu kwa hila Sio kwamba walifanya kwa kupenda.
Jengeni na nyie hizo hospitali
 
Naona Miungu wenu wa Kiarabu wanaitaka Tanganyika kwa Udi na Uvumba.

Mwambieni ukweli kwamba Tanganyika haiwezi kuwa Islamic state
Kwani hiyo ardhi ya Tanganyika imeumbwa na nini?Kwani kwenye huo mkataba wa Bandari kuna sehemu inasema Dangayika itakuwa nchi ya kiislamu? Au malkia Elizabeth ndio alileta udongo kuka Uingereza na kuifukia bahari na kuifanya Tanganyika? Hiyo ni Tanganyika au Danganyika?Mikataba mingapi mibuvu na ya kitapeli imeshasainiwa tangu enzi za mchonga meno kwa hao mabwana zenu wazungu na kuwaacha Wadanganyika wengi katika dimbwi la umasikini wa kutupwa.Mbona hampigi kelele Kwa rasimali zilizopo huko Tanganyika zinaporwa na wazungu toka enzi na enzi.
 
incredible story.
1992 Rais alikuwa Mwnyi ambaye alikuwa na nguvu zote za kimamuzi na katika utaratibu wa kawaida serikali haikuwa na namna kwa vile ilikuwa ni muhimu sana huduma za kijamii ķama hospitali kufika kwa wananchi na nguvu ya serikali kufanya hivyo ilikuwa ndogo lakini ndio namna pekee ya kushirikisha sekta binafsi.
Hiki ndio kipindi tulianza kutoka kwenye mfumo wa kijamaa na kuanza kusambaza huduma za kijamii kwa kasi na katika ule mkataba serikali haina resources control kwani haya makanisa hununua wenyewe. Serikali inachangia sehem kama kulipa mishahara baadhi ya watumishi.
Kuweka kumbukumbu sawa hawa viongozi wa kitaifa wamekuwa wakijihusisha na shughuli zote bila kujali dhehebu/dini ndio maana hizo hospitali watu wanapewa huduma kwa usawa. Na ajira zilizopo kwenye hayo makanisa kwa watu wa dini zote.
...............................................................................................
Nchi hii haina udini wote kwa pamoja we share the same interest tupunguze mihemuko tutafute maisha.
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Baba wa Taifa letu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana sawa sawa na kula nyama ya kula mtu. Mmeanza ubaguzi, mmeanza na Tanganyika na Zanzibar sasa mmekuja kweli udini, mtaenda kwenye ukabuila mtafika mpaka kwenye koo na sidhani km mtaishia hapo. Mimi naishauri serikali yangu iwe tu imara kuwadhibiti watu wapumbavu km wewe.
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Kwa kifupi ungependa hospitali za misheni ziwahudumie wamisheni peke yao kwa sababu hizo hospitali zilijengwa kutokana na sadaka za wamisheni? Au ungependa wamisheni walipe kidogo na wengine walipie gharama halisi?

Unawatajaje viongozi waliohusika na hiyo MoU halafu ukamuacha bosi wao ambae alikuwa ni Rais Ali Hassan Mwinyi?

Utazungumziaje ESCROW bila kumtaja Rais muislamu Kikwete ambae aliyetuhakikishia kuwa zile pesa sio zetu? Hao maaskofu unaozungumzia walipewa pesa na mkatoliki mwenzao ambae tuliambiwa na Rais muislamu kuwa zile pesa ni zake? Mkatoliki huyo aliyetoa hizo pesa alitiwa ndani na Mkatoliki mwenzake lakini hatimae aliachiwa chini ya utawala wa Rais wa kiislamu!

Kwa nini unazungumzia hospitali peke yake? Zungumzia pia shule ambazo wamisheni walirudishiwa na wahimize waislamu wasipeleke watoto wao kwenye shule hizo?
Unamlaumu Askofu Mndolwa kwa "kuilaumu" serikali kwa kujenga hospitali sehemu ambapo ipo tayari hospitali ya kanisa inayotoa huduma bila kuelewa kuwa alichokuwa anasema ni bora hiyo hospitali ingejengwa mahali ambapo hamna kabisa hospitali ya aina yeyote. Sehemu hizo ziko nyingi tu katika nchi yetu.

Unashindwa kuelewa kuwa watu wataendelea kupeleka wagonjwa wao katika hospitali za misheni hata kama kuna hospitali za serikali zilizo karibu zaidi. Watu wako tayari kusafiri masaa sita kufuata hospitali ya wamisheni wakati hospitali ya serikali iko umbali wa mita mia kutoka anakoishi.

Wavunje hiyo MoU halafu uone ni watu gani watasomea udaktari katika hospitali za Bugando, KCMC na hata ya Kariuki ambayo sio ya kanisa.

Ukweli ni kuwa ukiingiza udini katika kila kitu utawaharibia zaidi waislamu wenzako ambao wanahudumiwa bila kubaguliwa katika hizi hospitali za wamisheni. Hii ni kwa sababu wamisheni wamejenga hospitali nyingi zaidi katika maeneo mengi ya nchi yetu kuliko taasisi za kiislamu.

Watu kama wewe mnasikitisha sana. Mnabomoa kuliko kujenga kwa sababu tuu mnadhani ummah ni muhimu kuliko taifa letu.

Amandla....
 
Back
Top Bottom