Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Elimu bora inaanzia Primary na Secondary,sasa kama uku chini wanaandaliwa ovyoovyo;hiyo quality products utaipata wapi?
Chuo Kikuu ni ending point tu lakini inapaswa mkazo uanzie chini,shida siyo uwingi wa vyuo kwasababu ata Lecturers wengi wanaofundisha hivi vyuo vingine wanatoka hapohapo UDSM!!
Tupunguze sifa za kijinga kwenye utoaji wa Elimu, Wanafunzi wa Tanzania wengi ni incompetent haijalishi kasoma sijui UDS,UDOM et al kwasababu ya msingi mbovu wa elimu.
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Hakika anguko la elimu linaonekana kupitia uwezo wako wa kufirikiria.

Huwazi maboresho bali unawaza udhibiti.

Nchi ina vilaza hodari kweli hii
 
Hata hivyo vitano ulivyotaja mtoa mada vimeanza kufyatua product mbovu baada ya kuingiza siasa kwenye utendaji ndani ya vyuo.

Wanaongeza tu udahili wa wanafunzi pasipo kuboresha mazingira ya ufundishaji na kuongeza idadi ya wahadhiri wabobevu.

Halafu vyuo vikuu hivyo vimeanza na kudahili wanafunzi wa certificate na diploma ili kuongeza mapato. Kwa hiyo kwa sasa utaona vyuo vikuu vimejikita kukusanya mapato badala ya kutoa taaluma ya uhakika.
kwani nani kakuambia certificates na diploma siyo vigezo?shida nyinyi mliozaliwa juzi hamjui tulikotoka.ulizeni wahenga kama sisi tuwaambie wapi tulikotoka.msidandie treni katikati.enzi zetu kulikuwa na kitu kinaitwa qualiffying test kwa form four ambao walikuwa makazini walichukuliwa na kujiunga na universities.baada ya kuiharibu elimu ndo mmekaririshwa mpaka upitie fomu six ndo uende vyuo vikuu siyo kweli fuata hayo mawazo.tunachoangalia ni quality na si quantity.
 
Ati "incompetence products".

Mbona mwenyewe unaonesha ni kiazi tu.

BTW:Unarudia enzi za akina Mpigamsuli,Pery na ADILI SAMALU.

Na wewe ukikua utaacha tu.
 
Mzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.

Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
Kcmc na bugando ongeza kaka
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
namimi nampango wakufungua chuo kikubwa TCU watupilie mbali hayo maoni
 
Ukute hata mtoa mada hana elimu yoyote ya maana alafu kupata watu wazembe na wasiojituma sio kazi ya chuo Hayo ni malezi toka ngazi ya chini kabisa. Unataka lecture ndio afundishe uadilifu kazini wakati wanaosoma vyuo ni watu wazima tayari
 
Ukute hata mtoa mada hana elimu yoyote ya maana alafu kupata watu wazembe na wasiojituma sio kazi ya chuo Hayo ni malezi toka ngazi ya chini kabisa. Unataka lecture ndio afundishe uadilifu kazini wakati wanaosoma vyuo ni watu wazima tayari
Lecture?
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Mbona kama umesoma kwenye vyuo hivyo ? "Incompetence products"
All in all learners need environmental improvisation & not anything else.
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
.... hata MUHAS? Think twice.
 
Back
Top Bottom