Wakuu, habari ya mei mosi?
Naomba msaada kama kuna mtu alishawahi kununua gari kutoka kwa hawa jamaa wanaitwa enhance auto: Japanese Used Cars Exporter Enhance Auto
Kuna gari nimeliona kwao nataka nilifatilie sasa nisije nikalizwa bila kuuliza.
Ahsanteni kwa msaada
Hi wana-JF
Nahitaji gari, Toyota Vitz yenye specifications zifuatazo:
5 doors
Automatic Transmission
Less than 80,000km
Should be in mint condition
Color: Silver or Black
Offer: TZS: 5,000,000
Mwenye nayo ani-PM au call 0767535989.
Thanks
Hi wana JF
Nahitaji mtaalam au kampuni ya kudesign na kutengeneza cabinets za jikoni. Awe ana kazi halisi alizowahi kufanya, au samples kwny duka/workshop/show room yake. Kama ana picha, basi ziwe halisi alizopiga mwenyewe na si za magazetini. If you know one, please nijulishe. Namba yangu ni...
Inahitajika Toyota Noah 2003 model
Color: Iwe Silver
Mileage: Isizidi 120,000
Gari liwe katika hali nzuri
Budget: 10-11 million TZS
Kama unayo ni-PM tufanye biashara. Simu 0767000641
Hi JF members!
My friend who is an international recruiter has asked my reccomendations for below job opporturnities. You can contact me (through PM) if you want personal reccomendations or e mail your CV directly to molly.abbott@rescue.org
Project Director...
Hello wadau.
Anahitajika mbwa aliyekuwa trained vizuri. Nitafurahi kama nitampata na aliyemtrain kwa ajili ya kumzoesha kwangu pindi nikimnunua. Kama unaye, au unajua wanapopatikana, please let me know. Haijalishi ni aina gani, la muhimu awe trained vizuri. PM me au reply kwenye thread ni jinsi...
The following devices are available in Dar for sale:
1. HP Pavillion dm4 Laptop
Condition: Used for 3 months, in mint condition
Specifications:
Screen size: 14"
Processor: Intel (R) Core (TM) i5-2410M CPU @2.30GHz
RAM: 6.0 GB
System type: 64 bit operating system
Operating system...
Make: HP
Model: Pavilion dv6-323nr Entertainment PC
Processor: Intel(R) Core(TM) i3 CPU M370 @2.4GHz 2.4GHz
RAM: 4GB
64 bit Operating System
HDD: 320GB, 5400RPM
Genuine windows 7 Home premium
Screen size; 15.4
Other features
HP Protect smart
HP SimplePass with fingerprint reader
HP...
Hi guys
Nimeunguza adapter ya xbox yangu, naomba msaada kama kuna mtu anayejua zinapouzwa hapa(dar tanzania) anijulishe. Au kama kuna fundi anayeweza kuifix, basi anijulishe kwa private message.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu (my gaming pleasure is on hold now! please help)
Ninazo DELL OPTIPLEX 210L Tower Desktops, ziko dar. Screen ni Flat (17''), Processor Intel Pentium 4 n series 3.6GHZ, 512 DDR2 RAM, 80GB HDD. Price ni laki nne na nusu tu. Piga simu 0767535988/0713535988 kama unataka kuziona any time btn 8am to 6pm. The availability will be on first come first...
Red mercury scams were popular in 1990's after the disintegration of the soviet union. Some big shots like Saddam Hussein were the first among the victims of this scam as it was claimed that red mercury was an important component of nuclear bombs...that it could initiate fission reaction and...
Hi all!!
I am in need of a single self contained room or studio apartment in arusha.Needed for rent at most one year. Should be in a good place with sufficient security. Prefered area >> Njiro, but any other area with good neighbourhood is ok. Budget less or equal to 100,000/=TZS depending on...
Jamani watu wanasema hizi engine ni mbovu sana, lakini nadhani ni uelewamdogo wa jinsi ya kuzirepair kwani ni engine ngeni ukilinganisha na nyingine.
Kama kuna mtaalam aliyebobea ktk ishu za engine, anikontact kwa PM nimpe dili la kazi, atapata wateja wengi kwani hizi engine zipo kibao siku...
Hello wana JF!
Nina nyumba ya kupangisha yenye description zifuatazo:
> Nyumba ya kisasa kabisa ya ghorofa moja
> Ina vyumba 3 vya kulala juu, na kimoja chini (vyumba vyote vina choo na bafu) Master bedroom kubwa.
>Sitting room na dining kubwa
>Jiko kubwa la kisasa
> Nyumba iko kwenye kiwanja...
Habari za leo wana J.F?
Bidhaa zifuatazo zinauzwa;
1. Dell Optiplex 210L Desktop PC
Intel(R) Pentium(R) 4, N series
Procesor 3.0 GHZ
512 RAM DDR
80GB HDD
17'' TFT Monitor (Flat Screen)
Used for 4 months only, in excellent condition.
>Price 600,000/= TZS@. 4 UNITS AVAILABLE!!
2...
Nahitaji Gari Toyota spacio lenye specifications kama hizi
Rangi; Silver
Mwaka 2000 au zaidi
Liwe halijasajiliwa hapa nchini kwani nataka kutumia exemption
Lenye cc ndogo litakuwa na advantage zaidi
AT Transmission
Vitu vingine kama kawaida mf pw, pS, srs airbag n.k
Bajeti yangu inaanzia 8.0...
Ndugu zangu watumia mtandao wa internet!
Kuna habari nimezipata leo kutoka chanzo kimoja cha habari kuwa kuna uwezekano TTCL wakapunguza gharama za broadband kuanzia mwezi wa kumi. Habari hizi sijazithibitisha ila kama kuna mwenye data zenye uhakika naomba atumwagie make zinaweza kuwa habari...
Jamanieee!!
Nahitaji starlet milango mitano kwa haraka sana. Iwe automatic, rangi grey au black au red, iwe ktk hali nzuri na isiwe imetembea zaidi ya km 100000.
Kwa yeyote humu jamvini aliyenayo/anayemfahamu mtu anayeuza gari kama hilo naomba tuwasiliane hapa hapa au ani-PM, plz ur help'll...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.