Barabara za mitaani ndani ya Manispaa ya Morogoro zimeharibika hadi kero. Ndugu zetu wahusika, yaani TARURA, wanavuta mpunga tu na kuotesha vitambi bila kujali wakazi wa Manispaa hi pendwa wanateseka kwa barabara zetu kukosa matengenezo.
Ubovu wa barabara hizi ni wa muda mrefu, yapata miaka...
Klabu yenu pendwa ya Simba imepangwa na bingwa mtetezi wa Caf CL, Waidad Casablanca, kwenye robo fainal ya Caf CL.
Kwa wale wasioifahamu vizuri Waidad AC, nawaomba mje kwa Mkapa hapo tarehe 21/04/2023, ili mshuhudie klabu yenu pendwa ikibatizwa kwa moto.
Kile kipigo cha tatu, tatu...
Wakati watu tunalia vitu kupanda bei bila kujali uchumi wa wenye nchi, Polisi wamepandisha Bei ya stika ya Saloon car hadi Tsh. 7,000 kutoka Tsh. 3,000.
Ukiwauliza hizi stika zinapunguzaje ajali, wanakuwa wakali.
Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu wamemgomea waziri wa elimu, kwa kuipiga stop kamati yake chunguzuzi kukanyaga HESLB.
Kutokana na uzito wa wajumbe wa bodi hiyo, waziri alishindwa kuwafanya kitu na badala yake aliibukia kwenye media na vitisho uchwara kwamba atawala vichwa...
Nimepata tetesi kwamba kombe letu mpya ni la plasti na limegharimu TFF kiasi cha Tsh 200,000.
Kwa kuwa nahisi harufu ya ufisadi-kwani kwa makisio ya haraka kombo hilo halizidi Tsh 20,000/= pamoja na usafiri kutoka china kwa ndege.
Hivyo kuepusha pesa za walipa kodi kuliwa na wajanja wachache...
Naomba waliowahi kuagiza bidhaa yoyote China kupitia hii kampuni ya Gyee China watupe ushuhuda.
Hawa jamaa wana bei ndogo kwa bidhaa yoyote uagizayo kitu kinachonipa fadhaa ya moyo
Hawa jamaa wanadai wana ofisi Tabat barakuda, DSM
Kumekua na ongezeko la mauaji ya watu hasa nchini kenya na Tanzania siku za hivi karibuni.
Tumezoea kusikia mauaji ya kinyama huko marekani, india na ulaya lakini si Africa
Je, ni nini kinasababisha watu kuuana wenyewe kwa wenyewe na hii tabia inawezaje kukomeshwa?
Sioni sababu ya shule za Sekondari za Serikali kufanya vizuri kuliko za watu au mashirika binafsi. Ila naamini kuna mkakati wa kuzifuta shule za binafsi kwa njia ile ile iliyotumika kuvidhoofisha vyama vya upinzani. Wenye povu au hoja tofauti mnakaribishwa.
Nahitaji kiwanja medium au low density Mtwara mjini. kiwe kwenye maeneo ya wenye nazo au karibu na bahari. Kwa wenye nyumba ya kuuza mtwara maeneo mazuri na au karibu na bahari tafadhali tuwasiliane.
Hebu tupe maoni yako ni nini kitatokea ikiwa NEC 28/10 watamtangaza ENL kama mshindi wa urais. Toa mani yako pia ikiwa NEC watamtangaza JPM kama mshindi.
Ninahitaji Toshiba Satellite U505, Duo Core Intel processor, 4GB RAM, 500GB HDD, WIFI, etc ,mpya, iliyotumika au mbovu. Mwenye nayo anijuze. Bei itategemea na hali yake.
Natafuta mke mwenye vigezo vifuatavyo:
1) Awe na sura ya kuvutia (namba 8) na rangi ya ngozi asili
2) Elimu kuanzia Masters na kundelea
3) Awe tayari ameamua na kuelewa maana ya kuwa mke
4) Mcheshi, asiye na nyodo,mwenye mapenzi kwa watu wote
5) Mwenye uwezo wa kushauri na kushawishi
6) Awe na...
Baadhi ya barabara za manispaa ya Morogoro zinajengwa chini ya kiwango. Barabara hizo e.g. Uhuru street, barabara ya kwenda Morogoro hotel, kutoka Masika hadi Misufini na ile inayoanzia Oilcom Kihonda hadi kama ipo ipo tu zimeishaharibika licha ya kujengwa kipindi cha hivi karibuni. Kwa imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.