Wana jamvi msaada wa mawazo. Kuna sehemu nilidai pesa yangu zaidi ya miezi 6, hatimae leo wamenilipa. Naomba ushauri niifanyie uwekezaji au/ biashara gani ambayo itazalisha na kuongeza thamani ya pesa.
Malipo yenyewe ni madogo tu ni milion1 na laki tatu, eneo nililopo ni Mwanza tayari...
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta...
Habari za wakati huu, moja kwa moja niende kwenye mada kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nadhani umefika sasa wakati ambapo sisi wananchi na watanzania inabidi tuanzishe mjadala wa kitaifa juu ya maswala yanayogusa uchumi wetu, Rasilimali zetu na maisha kiujumla, na...
Habar za muda huu, ni kipind cha miez 11 sasa tangu niombe kuonganishiwa huduma ya maji Mkoa wa Mwanza, kila nikienda ofisini naambiwa mita hazipo na hazijafika, kama mmeshindwa kutunganisha maji kwa mita zenu, basi mruhusu wawekezaji na supplier wafanye hivyo.
Mbona mita hizo zimejaa kwenye...
Waakuu habar zenu!, Gari yangu inatatizo la kuvuja maji, baada ya uchunguzi mdogo nimebaini maji hayo yanavuja sehem ya Radiator (RAJETA) ,Naomba kujua gharama za i/Ufundi endapo ataiziba.
ii/Kununua Radiator mpya na kuifunga.
Niko Mwanza , natumain mafundi wazur mpo humu nitapata ushauri...
Habar za mida hii, fika mmechoka toka mihangaikoni lakin pia polen kwa mgao wa umeme unaoendelea.
Kama hapo juu mada inavyokieleza naomba kufaham, umuhimu wa CAR SECURITY SYSTEM, UBORA NA MADHAIFU YAKE PIA GHARAMA ZA KUNUNUA KIFAA HICHO NA MALIPO YA FUNDI ATAKAPOKUFUNGIA KWENYE GARI LAKO...
Haya Tupe mrejesho wa kauli yako hii uliojiapiza mnamo Tarehe 1/7/2022 , umefikia wapi?_ mana m mwenzio nakunywa kama Catalyst au booster tu sio kulewa hovyo na kuwa mpumbavu kama ulivyokuwa wewe# nipe mrejesho nikupe Code.
MREJESHO!, Baada ya kupata mawazo mengi na uzoefu wenu! Nimeshuhudia kuwa lita 10 kwa premio f , zimeweza kutembea KM 138. Hakika tuwe makini tunapowekewa mafuta sheli.
Kwa hesabu rahis nimetumia lita 8.65 za petrol kwa Umbali wa KM 138, Kwa mantiki hiyo Gari inauwezi wa kutembea KM 16 Per Litre.
Kama kichwa cha habar hapo juu kinavyojieleza, sina neno la kuongeza, kifupi namshukuru Mungu kwa kutimiza miaka 31 ya umri wangu, huku nikiwa nimetimiza 85% ya malengo niliyojiwekea tangu napata balehe.
Hakika Mungu ni mwema sana, hivyo ikiwa kama maadhimio ya umri huu wa miaka 31...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.