Mr. Miela
JF-Expert Member
- Aug 2, 2007
- 1,228
- 2,058
Unapigwa na risiti unapewa. Ishu ni kuwa makini kuhakikisha mashine inaanza kuhesabu 00Lita 10 unatembea Kim 20 gari inazima???
Hata lori hayo mafuta yasingeisha maana hata ikiwa ni 3km per lita bado ingeenda 30kms....
TUWE NA UTAMADUNI WA KUPEWA RISITI ....