Haki ya kufa, mara nyingi hujulikana kama kujiua kwa msaada wa daktari (PAS), ni suala tata na nyeti. Hata hivyo, kupuuza mateso ya watu wanaopitia maumivu makali kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali kunakuwa kukosa kuheshimu haki yao ya msingi ya heshima(dignity).
Katika uwanja wa haki...
Ni ijumaa mida ya saa 7 usiku, tangu nitoke ofisini, unajua tena mwisho wa juma nilikua na ratiba ya kuonana na rafiki yangu wa muda pale mchikichini,tukawa katika kibaa kimoja cha watu wa hali zetu ambapo bia za buku jero zinapatikana,ila pembeni kidogo kuna kibanda kina kile kinywaji cha...
Mtandao kama Vodacom unataarifa(data) asilimia kubwa sana za watanzania wahali zote za kiuchumi yaani hali ya juu (unaweza kukuta hata tajiri kama bakhresa,mengi wanatumia), hali ya kati na hali ya chini kama watu wa huko vijijini wanautumia sana.
Sasa kwa nchi hasimu kama Tanzania na Kenya...
Duuh...sina uhakika kama Africa tunahitaji Demokrasia hiyo kama ya Wazungu, labda na sisi tuwe na maana tofauti ya Demokrasia au tutafute mfumo wetu wa uongozi... kumbe keyboard yangu nzima haya ngoja nianze............
Kuna tafiti(research) kadhaa zimefanywa na wasomi wa saikolojia kuhusu...
Kumbe m-pesa iligunduliwa kenya tena na kijana aliekua anafaya internship safaricom?? aaah... kumbe keyboard yangu nzima haya tuanzee
Tangu kipindi cha mwisho cha kikwete kulikua na malalamiko ya watu kuhitaji mfumo wa usalama wa taifa au TISS kubadilika lakini malalamiko hayo yameongezeka...
Duniani especially Tanzania ujue kunafulsa nyingi sana jamani tufanyeni
hata kazia ya kuandika vitu vyetu watanzania kwenye mitandao, tusisubiri
tufanyiwe na wazungu et hata ukigugo "jinsi ya kupika ugali" unakuta
article kaandika mzungu??? mbongo anaekula nguna kila siku hata kujisumbua...
The big brain theory kipindi kimoja kizuri sana kipo Discovery science wale jamaa wamechukua magenius af wanawapa challenge mbalimbali za kisayansi daaah.. wanavyo solve sasa kwa teamwork hadi raha kuna jamaa anaitwa erick ana IQ 142 kumbe keyboard yangu nzima ngoja nianze andika sasa...
Kali GNU/Linux Rolling 64-bit hii ni moja kati ya distro ya linux ambayo natamani watu mjaribu kutumia ili muone raha au amani ya kutumia opensource technology jamani hilo ni biti tu la kujaribu keyboard yangu kama nzima
kwanza nianze kwa kusema kuwa mimi ni mtanzania wa kawaida ambae sina...
Vijana wengi nnaokutana nao na kuongea nao husema "Fedha ya mtaji ninayo ila wazo la biashara sina" au "Sina fedha ya mtaji ndo maana siwezi kujiajiri". Kijana katika makala hii najaribu kujibu maswali hayo na mengine yanayohusiana na kujiajiri uwe na mataji ama huna mtaji.
Mimi nita assume uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.