Nafikiria tubadili mtazamo kuhusu hiz gari za ulaya
BMW ni gari nzuri Tu unapokuwa barabarani ( unategemea uko na model gani Kwani zinazidiana)
gari ni matunzo jama ukiitunza vizuri kamwe aikusumbui, shida ya gari nyingi za ulaya zinakutaadharisha zikiwa na shida hata kama ni ndogo itawasha...
Jaman kila gari ina test yake gari nyingi za ulaya zina test ya kipekee
Kuhusu service sio kweli unakula pesa nyingi kama mdau hapo juu alivyosema bei ni ya kawaida Sana kulingana na dhamani ya model ya hiyo BMW
Kwa upande wa mafundi na vipuli Kwa sasa hivi vipi kila Kona ya miji mikuu
Uzuri...
Jaman tuvumiliane kwenye starehe, kila mtu anastarehe yake anayoipenda
Kuna watu wanapenda kunywa pombe bar na kusikiliza mziki huku akiangalia totoz
Mwingine anapenda Ku endesha gari huku akisikiliza mziki
Kuna wale wanapenda kutalii kwenda maporini huko na kupiga mapombe yake akirudi yy ni...
Kama umeipenda nunua Tu mkuu ,
Kuhusu mafundi wa magari ya ulaya wapo japo sio wengi Sana
Kikubwa gari ni service mara Kwa mara , kuweka oil inayotakiwa , hakika gari itadumu Sana
Ushauri wangu ,kama unataka kumiliki gari ya ulaya hakikisha unamjapani wako pembeni siku ikikataa safari...
Natamani kujua miaka ya mtoa mada
Nataman kujua ndoa yake Una muda gani
Natamani kujua utajiri wa mtoa mada
Baada ya kujua vitu hivi naweza kuchangia Kwa mapana hii mafa
Yan mkuu tunashukuru KWa elimu yako mana inaonekana gari za mkaburu ziko chin
Sisi tunataka connection za uwakika zisizo za magumashi, mfano makampuni Kam be forward ambayo unaweza Lipia gari na ikafika
Daaah sasa atawezaje kumudu gharama za maisha
Kunatofauti kubwa Kati ya kazi rasmi na kazi zisizo rasmi
Bila kazi mtu awezi kumudu matumizi yake , tusidanganyane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.