Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 496
- 543
wadau naomba tujuzane bei ya hizi gari nnchini afrika kusini. lengo nikujua kama ziko chini kuleko kwetu tanzania au la.
1.ford ranger
2.mercedes benz
3.toyota hilax
na jee ni njia ipi rahisi ya kusafirisha mpaka tanzania. kwani nasikia kuna boda nyingi
1.ford ranger
2.mercedes benz
3.toyota hilax
na jee ni njia ipi rahisi ya kusafirisha mpaka tanzania. kwani nasikia kuna boda nyingi