Tukumbushane kisa cha mwamba aliyejinyonga kwa bahati mbaya uwanja wa golf Morogoro

Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale morogoro akiitwa hamisi kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga. Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguwaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti. Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
Ukishajining'iniza kwa kamba au mkanda huwezi tena kujifungua mwenyewe au kukata kamba mwenyewe. Kwanza kile kitendo cha kijitundika tu kinaweza kikavunja mfupa wa shingo na ukafa mara moja. unajua adhabu ya kinyongwa inafanywa kwa mahesabu ili unapotundikwa na ile sehemu uliyosimama ikifyatuliwa mfupa wa shingo unakatika mara moja na kukata mawasiliano. Huwa hawakazi kamba ili ufe kwa kukosa pumzi kwa sababu ni mateso. Ndiyo maana wafungwa wa condem huwa wanapewa vyakula vizuri na vingi ili wawe na uzito wakati wa kunyongwa.
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale morogoro akiitwa hamisi kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga. Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguwaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti. Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
Yaani akafanikiwa kujinyonga hadi kufa kimasihara.
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale morogoro akiitwa hamisi kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga. Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguwaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti. Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
CHAI
 
Unaambiwa kwenye kujinyonga akili ya kujiokoa huwa inapotea fasta. Mwili unaishiwa nguvu chapu za kujinasua unabaki tu kutapatapa. Asilimia 99% ya wanajinyonga huwa wanatamanigi kujinasua lakini ndo hvyo tena inakuwa mbinde.
kinachopotea sio akili ni mawasiliano ya mfumo wa fahamu kukata kutokana na sehemu ya shingo ambapo ndio shingo ya mfumo wa ubongo kuingia mwilini kubanwa na kamba kisawa sawa,hii hupelekea sehemu ya chini kupooza ghafla.

hakuna kiuongo kitapokea maagizo kutoka ubongoni tena,mavi,manii,mkojo hivi ni vitu ambavyo hutoka punde baada ya mhanga kujiachia,maana havina cotrol tena.

kwahiyo mhanga hapa huwa anapata akili ya kujiokoa ila viungo haviitii akili yake.
 
Kujinyonga hakutaniwi kuna dada aliwaambia familia yake kama utani "najinyonga " ikabidi waweke kikao cha dharura kumhoji tatizo nini dada akawambia nilikuwa nawatania tu ila mama ake akawa amwamwini maana baada ya kikao akasema anataka kulala mwenyewe sasa mama ake akawa yupo macho kumlinda mwanae mama mtu yupo sebuleni
Kumbe mtot anamtegea mama ake asinzie ili atimize azma yake kweli bi mkubwa kupitiwa na usingizi yule mwanamke akajitundika ikawa ntolee.

Sometimes huwa ni pepo katika uo ukoo uyo anakuwa ni mtu wa nne kujinyonga
 
kinachopotea sio akili ni mawasiliano ya mfumo wa fahamu kukata kutokana na sehemu ya shingo ambapo ndio shingo ya mfumo wa ubongo kuingia mwilini kubanwa na kamba kisawa sawa,hii hupelekea sehemu ya chini kupooza ghafla.

hakuna kiuongo kitapokea maagizo kutoka ubongoni tena,mavi,manii,mkojo hivi ni vitu ambavyo hutoka punde baada ya mhanga kujiachia,maana havina cotrol tena.

kwahiyo mhanga hapa huwa anapata akili ya kujiokoa ila viungo haviitii akili yake.
Asante sana
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale morogoro akiitwa hamisi kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga. Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguwaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti. Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
Oyaa mbona hutaki Kuniua kwasababu ya kuwaibia TV chogo black and white 1988. Unazungukazunguka tu. Timiza ahadi yako Niue bana.
 
Back
Top Bottom