Watanzania /Wabongo wengi ni Washamba wa starehe

Kila mtu na hobby yake ...kuna wengine ukiwaambia suala la kwenda mbuga za wanyama hawakuelewi...its a Choice
 
Jaman tuvumiliane kwenye starehe, kila mtu anastarehe yake anayoipenda

Kuna watu wanapenda kunywa pombe bar na kusikiliza mziki huku akiangalia totoz

Mwingine anapenda Ku endesha gari huku akisikiliza mziki

Kuna wale wanapenda kutalii kwenda maporini huko na kupiga mapombe yake akirudi yy ni mpya
Kuna wale wanzangu na mm yy akiona maji Tu anatamani kuogelea

Kiufupi hakuna starehe ya kishamba Kwan kila mtu anafanya starehe kulingana na uhitaji wake na kipato chake
 
Jaman tuvumiliane kwenye starehe, kila mtu anastarehe yake anayoipenda

Kuna watu wanapenda kunywa pombe bar na kusikiliza mziki huku akiangalia totoz

Mwingine anapenda Ku endesha gari huku akisikiliza mziki

Kuna wale wanapenda kutalii kwenda maporini huko na kupiga mapombe yake akirudi yy ni mpya
Kuna wale wanzangu na mm yy akiona maji Tu anatamani kuogelea

Kiufupi hakuna starehe ya kishamba Kwan kila mtu anafanya starehe kulingana na uhitaji wake na kipato chake
Ila ngono na pombe ndio ilipitishwa kwa Wabongo + Africans
 
Moja ya sababu inayotufanya Waafrika kushindwa kuendelea, ni kutumia muda mwingi kufuatiliana maisha!

Tungetumia muda mwingi kuumiza kichwa kwenye namna ya kutoka pale tulipo, na kwenda mahali pengine! Huenda tungekuwa mbali sana kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom