Wassapp is a Low Level Studios unofficial client of WhatsApp. It works for almost all prevailing Windows OS just like the BlueStack Android emulator.
The only reason I see that you may choose...
naomba msaada simu yangu ukitumq sms mara moja zinaendelea kuingia zaid ya mara moja. nimejaribu kuristore lakin tatizo likawa lile lile. nifanyeje wadau nisaidieni please
Wakuu, nina 195,000/- na nina mpango wa kununua simu, inayokaa line moja, na ambayo haibagui aina ya simcard, na nzuri, yenye wats up, speed nzur kwenye browsing, na haisumbui. Naomba msaada...
Habari wana jamii. Hii tablet ilikuwa ina-run very smooth. Lakini sasa ina tabia si yakawaida. Nikiwa na-surf kwenye internet, ghafla inarudi home screen. Ukifungua browser, inarudi kwenye page...
Nipo hapa napiga mzigo mmoja hv!
Natumia laptop hp elitebook ya ofisi moja hv ya mshikaii wangu, mara taaa sauti ya laptop haipo!
Nikicheza cd sauti haisikiki!
Nikiwasha na kuzima hakuna sauti...
Ndugu zangu kunajamaa kanambia kwamba simu kenya zinauzwa bei rahisi sana kuliko tz. Mfano hizi smart phone ndogo za sumsang anasema ni kama sh 4500 ya kenya. Is this really true? Jamaa ni mkazi...
Kutumia whatsapp kwenye simu za nokia nilizotaja hapo juu imekua ni changamoto kwa sasa, mimi binafsi natumia nokia x hvyo natoa maelekezo kusaidia wanajf leo.
1.ingia kwenye...
Hi jf members, am using tecno p3 I always do use opera min to browse but since yesterday am trying to access internet using this opera min but ending unable to connect. pls i need your help.
wadau wote mzigo upo wa kutosha ni kwa mtonyo ule ule wa 6000/ kwa mwezi.
najua wapo ambao hatuelew kma hujaelewa ni pm au ni chek kwa 0759212578 watsup 0688148836
karbuni sana
Programme gani naweza kutumia katika kuunganisha video au video editor. Kuna video nataka kuziunganisha nitumie app gani? Kifaa nacho tumia ni Kompyuta.
Wakuu habari za muda nimekua na tatizo kama hili la meseji ambayo ilishatumwa hata siku mbili zilizopita inakua inaendelea kuingia hata siku tatu mfululizo mbele na si kwa simu hii hata tecno m3...
Wadau wa mac osx, IDM inapiga kazi kwenye mac kama kawaida, uachotakiwa kufanya ni ku-install crossover kupitia hii app utaweza ku-install baadhi ya windows apps kwenye osx yako na zika run poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.