Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Kwa kweli mim ni mdau mkubwa sana wa hii simu ambayo inaongelewa sana na inatajwa kuwa ni kati ya simu bora za mwaka huu lakin nashangaa upatikanaj wake hapa bongo umekua ni mgumu sana kama kuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wandugu.kama heading isemavyo hapo juu. Nimenunua simu inayotumia OS ya windows. Ishu imekuja nataka kuweka ringtone za miziki yangu ila sioni pahala pa kuanzia! Nimehangaika weee hadi basi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wadau poleni na majukumu naomba kuuliza je naweza kuzi format hizi simu zinazouzwa na Tigo HUAWEII Y 530 na kama inawezekana ni wapi naweza pata Huduma hii na Malipo yake yakoje asanteni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nina tab yangu Galaxy Note, nilikuwa natumia whatsapp kwa line ya Voda. Baada ya kubadili line na kuweka airtel , whatsapp imekataa kufanya kazi. Nime uninstall na ku install tena lakini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jaman natumia samsang mini galaxy nauliza aplication ambayo ntadownload video,audio na pia photo editing nzuri.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu Nina computer 3 aina ya DELL optiplex 760, zinasumbua sana ukiwasha zinabaki kuwaka taa rangi ya orange. Marekebisho yake inatakiwa kubadili motherboard. Kama kuna mtu yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kwa yeyote anaefahamu jinsi ya ku-unlock modem za zte k-3772-z. Nimetokea kuipenda kwani ina speed nzuri ila tatizo ni laini moja tu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye kujua namna galileo inavyofanya kazi tafadhali anijuze, ikiwemo configurations zake (i.e IPCS address and other connections). Na je hii application inahitaji license au ni free. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau hivi hii simu kwa bei ya mkonon unaweza kununua shilingi ngapi? Pia unaangaliaje specifications zake km internal memory?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau kwa mwenye ufahamu anisaidie tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
698 Views
habari zenu wana jf.. nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii! ilianza tatizo hili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
naomba msaada nataka kujifunza computer programming ila sijui nianze na lunguage ipi, maana zipo kiba, je ipi ni bora zaidi kwa mtu kama mimi sina background yeyote katika PC progmm language?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba anayejua mahali wana unlock hizo Iphone na bei zake!!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
habar wanajanvi. simu yangu ya tecno M5 inamatatzo yafuatayo. 1. mtu akinipigia au nikimpgia nikianza kumrekodi tu simu inakata yenyewe. 2. nikipiga vidéo call simu inakata then...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu wa Jukwaa hili amani kwenu nyote! Naomba msaada wenu namna ya ku-install whatsap kwenye IPAD! Natanguliza shukrani. cc RGforever
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habar wadau, naomba mwenye activator au jinsi ya ku activate window 8 pro 64 bits.
0 Reactions
5 Replies
634 Views
Wakuu hii flash imegoma kusoma kwenye pc,ukiscan yale mafail yanaonekana yakiskanika na inaonekana kabisa kuwa yamejaa kwny flash ila ukiopen unakuta empty. C6 CHIEF MKWAWA MWONGOZN WENU
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Sim yangu ya samsung galax S 3, GT-18190 hai conect kabisa na internet nimejaribu kila lain lakin hakuna mafanikio msaada tafadhali...!!
0 Reactions
5 Replies
862 Views
Download hapa https://drive.google.com/file/d/0B1nnQK_ILkSXZlI4VlVpMnJVYkk/edit?usp=sharing
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Tafadhari wadau mwenye Product Key Microsoft Office 2013 naomba msaada..! Thanks in advance
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom