Kwa kweli mim ni mdau mkubwa sana wa hii simu ambayo inaongelewa sana na inatajwa kuwa ni kati ya simu bora za mwaka huu lakin nashangaa upatikanaj wake hapa bongo umekua ni mgumu sana kama kuna...
Habari wandugu.kama heading isemavyo hapo juu. Nimenunua simu inayotumia OS ya windows. Ishu imekuja nataka kuweka ringtone za miziki yangu ila sioni pahala pa kuanzia! Nimehangaika weee hadi basi...
Habarini wadau poleni na majukumu naomba kuuliza je naweza kuzi format hizi simu zinazouzwa na Tigo HUAWEII Y 530 na kama inawezekana ni wapi naweza pata Huduma hii na Malipo yake yakoje asanteni...
Wakuu nina tab yangu Galaxy Note, nilikuwa natumia whatsapp kwa line ya Voda. Baada ya kubadili line na kuweka airtel , whatsapp imekataa kufanya kazi. Nime uninstall na ku install tena lakini...
Heshima mbele wakuu
Nina computer 3 aina ya DELL optiplex 760, zinasumbua sana ukiwasha zinabaki kuwaka taa rangi ya orange.
Marekebisho yake inatakiwa kubadili motherboard. Kama kuna mtu yeyote...
Mwenye kujua namna galileo inavyofanya kazi tafadhali anijuze, ikiwemo configurations zake (i.e IPCS address and other connections). Na je hii application inahitaji license au ni free.
Naomba...
habari zenu wana jf..
nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii!
ilianza tatizo hili...
naomba msaada nataka kujifunza computer programming ila sijui nianze na lunguage ipi, maana zipo kiba, je ipi ni bora zaidi kwa mtu kama mimi sina background yeyote katika PC progmm language?
Wakuu hii flash imegoma kusoma kwenye pc,ukiscan yale mafail yanaonekana yakiskanika na inaonekana kabisa kuwa yamejaa kwny flash ila ukiopen unakuta empty.
C6 CHIEF MKWAWA MWONGOZN WENU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.