Kuna Tetesi inasemekana Whatsapp wako kwenye majaribio ya kuweza kuleta feature yenye uwezo wa kuingia kwenye Whatsapp akaunti yako bila kutumia namba ya simu.
Feature hii itaanza kupatikana kwa...
Watafiti kutoka chuo Cha Lanzhou University nchini China wamefanikiwa kutengeneza wireless chaji ambayo ni Salama itakayoweza kupandikizwa ndani ya mwili wa binadamu katika Miaka ijayo...
Kwa wataalam wa IT upande wa software engineering watakubaliana na Mimi kuwa udukuzi ni kitu cha kawaida kabisa katika tasinia ya technologia.
Udukuzi hufanywa Mara nyingi sana. Lakini Kuna iana...
Tumeona feature nyingi zikitoka mwaka huu 2023 kwenye WhatsApp wanazidi kuendelea kufanya vyema sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia.
WhatsApp wanakuja na feature mpya ya kuweza kurahisisha mambo...
Kwa zaidi ya masaa 2 inaonekana kuna tatizo la upatikanaji wa huduma ya internet kwa provider wengi, kwa tetesi nilizopata kuna tatizo kwenye mkongo wa taifa , kuna njia 2 za zimekatika imebaki 1...
Tetesi toka kwa Ming-Chi Kuo kuanzia 2023 apple ataanza kutumia USB type C.
Inawezekana ikawa ni shinikizo toka jumuiya ya Ulaya ikitaka makampuni yote ya simu yatumie standard moja ya kucharge.
Ilianza kama utani hivi wengi wakawa hawa amini, wengi wakaanza kutoa kejeri na kumbeza kumuona limbukeni tena wengine wa kaanza kutukana na kumuona mjinga. Kwa kijana mdogo sana kufanya maamuzi...
Habari za Xmas niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Majuzi nilijiunga na mtandao huu. Hapo nyuma nikiwa natumia WhatsApp ya kawaida sikuona hizi mambo....kwa namna WhatsApp GB ilivyo ukiwa online...
Inasemekana kwamba kwa sasa M-Pesa MasterCard inapoExpire hakuna tena kuiendeleza kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma, na hii ni baada ya kujaribu kuiendeleza Card yangu iliyoExpire baada ya mwezi...
Forever IPTV language package (3500pcs+ HD&SD live online):
Albanian
Arabic
Africa
Brazil
Bulgaria
Chinese
Czech
Canada
Cyfrowy Polsat
Dutch
French
German
Greek
Hungarian
Italian...
Habari waku... Moja kwa moja niende kwenye mada.nilikua naomba kufahamishwa, kama nimeibiwa au kupoteza simu ya IPHONE naweza kuipataje? Maana naskia hizi cm ni rahisi sana kupatikana pindi...
Why You Should Not Upgrade To Android 7.0 Nougat
Sina Hakika Na hili Maana Sijaijaribu Hiyo Kitu ila ni kwa kuwatahadharisha tu.
This is Why I May Never Upgrade to Android 7.0 Nougat
This...
*Whatsapp 4G 4.0* is now released,You must install it Now to Enjoy latest features like *Top Whatsapp Group Links,* *Private msg without showing your number,* *Free wifi mode,* *who view your...
Source Alexa
Jamii forums yashika nafasi ya 5 Tanzania kwa mitandao inayo tembelewa sana hapa bongo,jamiiforums ime mpiku millardayo,bongo5,udakuspecially ambayo iliyonekana kuja kwa kasi kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.