kipind tupo wadogo nlisikia fomula 1 ya kutengeneza umeme dc kwa kutumia kinyesi cha binadamu(chooni).
hebu tukuwekane sawa hii inawezekanaje? maana umeme umekuwa adim sana
15 new Asian smartphone makers hoping to crush Samsung and Apple April 22, 2014at 4:25 pmby Steven Millward Share
2915307522460 Samsung is the world's – and Asia's – top smartphone...
Habari wadau
Nina shida kwenye my profile yaani kama mtu ame-reply with a quote ile quote siioni kwenye my profile japokuwa kwenye notification pale inanionyesha na niki-click kitu hakionekani...
nina simu aina ya sumsung duos,wk iliyopta imezima na nikiwasha inabaki maandishi ya sumsung kweye screen, baad ya hapo hakuna kinachoendelea. naombeni msaada km kuna mtu alishawahi kupatatatizo...
Ni baada ya kutumbukia kwenye maji juzi, nliitoa nikatoa betri na kuikausha kwa kuianika juan kwa mda wa masaa kadhaa, baada ya kuiwasha iliwaka ila ikawa haionyeshi vyem so nikaizima na kuendelea...
Habari zenu wana jamvi.!
Nina simu tajwa hapo juu ina tatizo la kukataa kuongeza salio kwa njia ya kawaida na maanisha *104* inakubali tu kwa njia ya sauti,na pia haiwezi kuonyesha salio kwa njia...
To Android and iPhone OS owners/users:
You can set your apps to only update over WiFi. Go to your settings page, then under "Wireless & Networks" heading (usually at the top of the setting list)...
Nilidownload game inaitwa pirateville. Ni nzuri sana hasa kwa watoto. Lakini unapewa 1 hour free trial baada ya hapo unaambiwa ununue. Sasa nawezaje kubypass hiyo requirement ya kulipia au...
habar wana jf?
samahan wakuu na natumia pc aina ya hp, tatizo lake kubwa n kwenye keybord unapotype heruf O inaandika "q qerwiuPO" na unapotype heruf L inafungua Mozilla natumia window 8 wakuu
Ninaomba kujua itanigharimu kiasi gani ku-unlock modem ya zte-3772-z kwa kutumia dc-unlocker na jinsi gani yakupata hizo credit zitakazoniwezesha ku-unlock?
Maana nimejaribu kuitumia hiyo...
Hi Member
I have been working on a web project using html5 and CSS3,the site looks ok in other browser that support CSS3 features especially border-radius and box-shadow.
I would like to get...
waheshimiwa wana jf naomba msaada simu tajwa hapo juu inatatizo la kukata mawasiliano sek 3 had 5 muhusika namsikia mimi hanisikii nikimpigia tena tunasikilizana mala tena sauti inakata upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.