Wakuu niliedit file la human player kuweka "cheats" nikatumia notepad. Sasa kitu kimegoma kabisa kufunguka. Linanambia "invalid qvm format in file "humanplayer..."
Msaada kwa mwenye maujanja...
poleni na majukumu wadau. sasa nimeamua kuuliza humu hii samsung yangu mtu anaweza kukutumia sms ikafika vizuri bila shida tatizo message hiyo hiyo inaweza kuendelea kuingia kwenye simu ata siku...
Habari za leo wanajukwaa. wadau naomba msaada kwa anayejua tatizo la simu kuji duplicate sms. Simu
yangu ni samsung duos GT-S5303. Shida inakuwa ninapotumia sms moja inakuwa inajiduplicate...
Nimeona kwenye series mbalimbali hasa za wakorea kuwa wana taa automatic ambazo wakiingia ndani tu zinajiwasha na wakijiegesha zinajizima jee ni wapi InauWa au nani anaweza zitengeneza and what is...
Wakuu natumia Samsung Ace 2....hivi karibuni imekuwa na mtindo wa kujirestart kila ninapopigiwa simu, appl ikistack na muda mwingine bila sababu yeyote inayoonekana, inajizima na kuwaka!!
Naomba...
tafadhali wakuu naombeni ushauri kati ya hiz smartphone iphone and samsung galaxy, alf nasikia sina huakika ni kweli et kwenye iphone kila software ukitaka kudownload lazma uripie. msada please wadau.
Nashindwa ku-download mafile yanayozidi 4GB kwa kutumia IDM. Nimejaribu kwenye Windows 7 both 64 bit & 32 Bit bila mafanikio.
IDM yangu ni latest lakini pia ipo cracked. Nikibofya download link...
Ni wazi kabisa tunatofautiana matumiza ya internet kuna wale ambao ni heavy internet users hawa wana matumizi makubwa sana kiasi kwamba wengine hata kwa mwezi wanafkisha gb zaidi ya 100 ili...
Kwa mda mrefu sasa natafuta sehemu ninapoweza pata kozi fupi ya kujifunza programming kwa ajili ya kazi Fulani. Nilikwisha soma kidogo Pascal programming nikiwa chuo ila ningependa kupata ujuzi...
Nina simu anina ya sony xperia ...ambayo natumia kuangalia emails(Gmail) mara kwa mara....Lakini leo nimeamua kutumia PC ili niweze kujibu kwa kirefu email moja muhimu ambayo ilitumwa 29/06/2014...
Habari wana Jamiiforums, nahitaji kufaham ni aina gani ya computer yenye uwezo mkubwa wa ram,graphic card na gpu na specificaions nyinginezo ambayo nitaitumia kwa ajili ya video editing na 3d...
Wana JF habr zenu, mie leo nashda moja, kuna laptop ninayo ila haina partition yan nikipga window chin kila kitu kinapotea,
Ila yupo jamaa akanambia niweke partition sasa watu kama mimi BBC (Born...
Habari wadau. Naomba msaada kwa watalam wa simu,nina simu aina ya samsung galax GT-B5512, tatizo lake ni kuwa imekata internet na kila napo fanya setting za vpn inagoma kuconnect mara tu ya...
Nimepotelewa na funguo ya gari na haikuwa na copy, vipi kuna uwezekano wowote wa kutengeneza funguo bila copy ya kuangalizia?
Kama kuna mtu anao utaalamu tusaidiane au tupeane contacts kwa...
Habari wakuu,ninahitaji msaada wenu ninatumia Tab ya kichina line mbili inasumbua hasa ninapotaka kupata ama kujua salio inaniletea maandishi mengi yasio eleweka,hivyo inaniwia vigumu kupata...
ninatumia pc aina ya dell na niifungua battery kuna sehemu ya ku_insert sim card,naomba nijulishwe namna ya kutumia maana niliiweka na kuwasha pc lakini sikuona notification yoyote.....
Nahitaji kutumia WhatsApp kwenye laptop yangu lakini nimekutana na changamoto kadhaa, hivyo na naomba mawazo ya ziada
kutoka kwenu wadau.
Hatua nilizo fanya ni hizi hapa;
Nime-download...
Wana JF SIM yangu kila baada ya masaa mawili inakuwa kwny safe mode,then apps zote zinapotea kwny display..nikireset inakuwa ok but baada ya 2 hrs inarudia tatizo lilelile..no Samsung NOTE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.