By Aidan Eyakuze
First, some sensors failed. Then the pilots lost control of the plane, it stalled, went into freefall and smashed onto the surface of the Atlantic Ocean at a force 35 times...
Mkurugenzi wilaya ya Serengeti bwana Juma Hamsini ameepuka rungu la mh; rais la kutumbuliwa baada ya mbunge wa wilaya hiyo kupitia chama cha Chadema bwana Marwa ryoba kumtaka mh;rais kuchukua...
Huu mkoa wetu, mbona kama unataka kuwa wakihuni sasa?! Nadhani ni muda mwafaka Lowassa awajibishwe kupunguza nguvu za huyu Mwakipesile. Ni hatari kabisa
Prof Mwakyusa awaponza watumishi Mbeya...
Wasalaam, inasikitisha wanaojimbanua kupinga rusha ndio vinara WA kugawa rishwa, ktk hali ya kushangaza ccm imekuwa ikiwahonga wamama elf 40 kila mmoja ili waipigie kura ktk uchaguzi WA marudio...
mchuano mkali ulionekana kwenye siasa za Jimbo la Rugwe Mashariki baina ya Prof DAVID Mwakyusa dhidi na Nd. Richard Kasesela, ambapo baada ya chakachua ya hapa na pale , Prof.Mwakyusa akaibuka na...
Wakati mhe Kikwete alipopata matatizo afya pale viwanja vya Jangwani kwenye mkutano kampeni Prof David Mwakyusa alisema kuwa yeye kama waziri wa Afya angefuatilia kwa makini afya ya rais wa nchi...
Kuna kasumba ya kudhani rais huwa hakosei na anapokesea baadhi ya watu hawasemi amekosea bali huwabebesha lawama washauri na wasaidizi wake kuwa hawamshauri vizuri. Kasumba hii ilianza kujitokeza...
Kwanza nimpongeze rais wangu wa JMT kwa kubuni mtindo wa kuanzisha harambee za papo kwa papo lakini pia kuwapa kiasi cha fedha wale wote wanao wasilisha matatizo yao ya kudhulumiwa rais ameonekana...
Swali la Jiwe kwa Wabunge wa upinzani kuhusu matumizi ya fedha za mfuko wa maendeleo wa jimbo limekuwa sawa na mtihani uliovuja mwezi mzima.
Nadhani Mbunge wa mwisho kusumbuliwa na swali hilo...
Do you know that Zanzibar Gold Reserve
before and after the Revolution was
estimated at more than 5,000 tons?
Do you know that the Gold Reserve was
transferred to Central Bank of Tanzania in...
Ndugu, wana Jamii forums,
Mjadala kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Umekuwa mzito sana, lakini ninadhani cha mhimu ni kuuweka ukweli hapa Jamii forums, yaani nyaraka halisi za Muungano...
- Yuko wapi huyu Mheshimiwa?
-Pili nakumbuka Lazaro Nyalandu aliomba kujiunga na CHADEMA, Hivi keshapokelewa rasmi chamani?
- Na tatu tuliahidiwa na Waziri wa Maliasili Dkt Kigwangala kuwa...
Viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wapo katika maandalizi ya kufanya Ziara kabla ya mwishoni mwa mwaka huu 2018 kwenda katika Nchi za Ulaya zikiwemo Ujerumani na...
Sijui kama itadumu lakini ngoja nijaribu.
Nimeiona clip ya Kigaila wa Chadema na tuhuma za maneno ya uchochezi yanayodhaniwa kuandikwa na Waitara. Nimemsikiliza Kigaila akielezea kuhusu majibu ya...
Wakuu,
Sijapata kumsikia wala kumuona Bw. Nyalandu miezi ya hivi karibuni. Kimya ni kishindo.
Wamemfix nini au kaamua tu kuachana na siasa za hovyo na nyeupe ndani ya CHADEMA ( ya M /kiti wa...
Wakati anakaribia kugombea urais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alihutubia mkutano wa hadhara pale Bagamoyo, Pwani na kulisifia sana Kanisa Katoliki nchini, akisema wao ndio waliompa elimu na kwamba...
"CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli...
Watanzania wenzangu,Bunge,serikali kuanzia magogoni,Mahakama,NGO,CBO,na Wadau wote wa maendeleo kwa pamoja.
Kwa mujibu wa katiba yetu 1977, Tanzania ni nchi ya kidemocrasia yenye kufuata mfumo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.