Gazeti la Tanzanite: CHADEMA, yajiandaa kwenda Ujerumani na Marekani mwishoni mwa mwaka: Lengo ni kuomba msaada wa kupambana na Serikali

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_7002.JPG

Viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wapo katika maandalizi ya kufanya Ziara kabla ya mwishoni mwa mwaka huu 2018 kwenda katika Nchi za Ulaya zikiwemo Ujerumani na Scandinavia, pamoja na Marekani, ikiwemo Bunge la Congress kwa lengo la kuomba msaada dhidi ya masuala ya kisiasa na hali yao dhidi ya Serikali.
Viongozi hao wanakwenda kudai kuwa, wanaonewa, hawana haki dhidi ya Nchi yao, wananchi na wabunge wao. Vilevile, watalalamikia juu ya Ukanda Imani was demokrasia ndani ya Nchi. Aidha, watalalamikia juu ya vitisho na usalama wa uongozi wao, nafasi zao na mwenendo wa uchaguzi kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Je, CHADEMA wakienda huko watapata nafasi ya kuongea kwenye Bunge la Congress? Endapo wataipata hiyo nafasi, nini athari zake kwa Siasa za Tanzania hasa kuelekea 2020. Je, Marekani atataka kutulima tena kwenye misaada? Je, unadhani Magufuli anaweza kuogopa ghadhabu za Marekani, Ujerumani na Scandinavia (Norway, Sweden, Finland, Denmark na Iceland)? Je, Norway (Statoil/Equinor) na Nchi nyingine yanakotokea Makampuni ya gesi, wanatuvizia baada ya mwenendo wa kobe katika makubaliano ya kujenga LNG nchini?

IMG_7001.JPG
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.
Zipo habari zingine huwezi hata kuziangalia, zimejaa utoto na ujinga, sijui na sielewi huyu anayeandika hivi anadhani anatengeneza? Anadhani anafanya propaganda? Hapana hata propaganda huwa hazifanywi hivi huu ni ujinga, ni upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.
Mkuu pia elewa tupo wengine tunahitaji kujua habari hizi kama wewe huhitaji kujua pita kimya kimya siyo lazima usome habari hii.
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.

Hii ni JF jukwaa Huru... sio lazima kila mtu aandike kinachokupendeza wewe na si lazima usome kila thread. Hata wewe kuna unaowakwaza pia kwa maandishi yako but wanavunga!!!

Kuna mwanafalsafa alisema “ ukiona wasoma kitabu hukielewi achana nacho.... wewe si hadhira ya mwandishi”
 
Zipo habari zingine huwezi hata kuziangalia, zimejaa utoto na ujinga, sijui na sielewi huyu anayeandika hivi anadhani anatengeneza? Anadhani anafanya propaganda? Hapana hata propaganda huwa hazifanywi hivi huu ni ujinga, ni upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako unaona upuuzi lakini wengine ndiyo habari na tunashukuru kwa kuileta hapa JF ili tuwajue hao Chadema na mbinu zao za kisaliti...
 
View attachment 849963
Viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wapo katika maandalizi ya kufanya Ziara kabla ya mwishoni mwa mwaka huu 2018 kwenda katika Nchi za Ulaya zikiwemo Ujerumani na Scandinavia, pamoja na Marekani, ikiwemo Bunge la Congress kwa lengo la kuomba msaada dhidi ya masuala ya kisiasa na hali yao dhidi ya Serikali.
Viongozi hao wanakwenda kudai kuwa, wanaonewa, hawana haki dhidi ya Nchi yao, wananchi na wabunge wao. Vilevile, watalalamikia juu ya Ukanda Imani was demokrasia ndani ya Nchi. Aidha, watalalamikia juu ya vitisho na usalama wa uongozi wao, nafasi zao na mwenendo wa uchaguzi kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Je, CHADEMA wakienda huko watapata nafasi ya kuongea kwenye Bunge la Congress? Endapo wataipata hiyo nafasi, nini athari zake kwa Siasa za Tanzania hasa kuelekea 2020. Je, Marekani atataka kutulima tena kwenye misaada? Je, unadhani Magufuli anaweza kuogopa ghadhabu za Marekani, Ujerumani na Scandinavia (Norway, Sweden, Finland, Denmark na Iceland)? Je, Norway (Statoil/Equinor) na Nchi nyingine yanakotokea Makampuni ya gesi, wanatuvizia baada ya mwenendo wa kobe katika makubaliano ya kujenga LNG nchini?

View attachment 849962
Akili zako ndogo sana, pole kwa kutumiwa
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.
Yes absolutely
 
Kabla ya kwenda waende Mchamba Wima Kwa Sultan Seif Sharif Hamad

Atawaonesha mabaki ya soli Za viatu 1995-2015 akizurura Ulaya kukishtaki Chama cha Mapinduzi
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.
Huyo atakuwa mwandishi kanjanja wa hilo gazeti
Dah umenichekesha eti"kama kanunuliwa scanner" kumbe wakili msomi una madongo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mgambilwa ni mntu , with due respect, acha hii tabia ya kutuletea habari kwa njia hii. Kama umenunuliwa scanner ya kutuletea mada zinazokupendeza na kutoka magazeti yanayokupendeza, jua kuwa tupo unaotukwaza. Uwe unaleta hata habari za maendeleo kama uwekezaji na kilimo au hata elimu. Acha kila siku kuleta 'vihabari vya kishabiki'.
Safi sana wakili msomi Petiro
 
Back
Top Bottom