Zumbemkuu amempoteza Baba yake Mzazi

Zumbemkuu amempoteza Baba yake Mzazi

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,367
Reaction score
100,408
Wana ukumbi, zumbemkuu amefiwa na Baba yake Mzazi leo, taarifa zaidi zitafuata kuhusu kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Lushoto Mlalo kwenye nyumba yake ya milele. Msiba uko Mbezi Makabe kwa Zumbemkuu
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu zumbemkuu kwa msiba...tuko pamoja kwenye kipindi hiki kigumu..by the way mlalo sehemu gani?
 
Last edited by a moderator:
pole sana zumbemkuu hakika mungu kazi yake haina makosa,sisi sote tutamfata baba ni suala la muda tu
 
Last edited by a moderator:
Elli mpwa wangu kwa kweli ni msiba mzito sana kwa mwwnzetu zumbemkuu nikitoka Tanga nitapita hapo.
 
Last edited by a moderator:
Elli mpwa wangu kwa kweli ni msiba mzito sana kwa mwwnzetu zumbemkuu nikitoka Tanga nitapita hapo.

Kesho asubuhi naenda kijijijini maana toka tumerudi msibani Lushoto sijarudi kule kijijijini. Naenda na kurudi kuna mambo nikayaweke sawa.
 
Last edited by a moderator:
Pole nyingi sana kwako mkuu zumbemkuu kwa msiba huu mzito.Mungu akupe uvumilivu na ujasiri kwenye kipindi hiki kigumu sana kwako na familia kwa ujumla.

Sote njia yetu ni moja inatuuma wapendwa wetu kutangulia.
 
Last edited by a moderator:
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون&#1614😉 is a verse of the Quran which means Surely we belong to Allah and to Him shall we return.
 
Back
Top Bottom