Zuku wanazingua

Zuku wanazingua

hazard17

Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
18
Reaction score
0
Wadau juzi king'amuzi changu cha zuku kilikata network. Jana nikanunua kifurushi cha zuku poa 16000. Chaajabu zile channel walizooredhesha kwenye manu yao hazipatikani hata tbc1 hakuna. Ni za kichina na baadhi za kiarabu. Najaribu kupiga namba zao za huduma hazipokelewi toka jana. Nahisi kama nimeibiwa
 
ukisikia kiraza ndo wewe umesema netweki imekata sasa kwanini umelipia ?. Kwanza rekebisha hiyo netweki yako(signal) alarafu wapigie. Zuku huwa aisumbui kabisa weka dish lako vizuri
 
Samahani nimejivhanganya ni kwamba muda wangu wa matumizi uliisha
 
Back
Top Bottom