Zuku & star times

Zuku & star times

zamboni

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
364
Reaction score
180
Habari wakuu!
Samahani Kwa wale wenye uelewa kati ya dish LA zuku na star times lipi zuri, in terms of picture & sound quality, wingi wa channels na vitu vingine vingine!
 
Dishi tena.......!!!

Nakushauri king'amuzi cha zuku
 
Zuku ipo njema asikudanganganye mtu kila kit ila chanell za pilau ndio hazpo.
 
Habari wakuu!
Samahani Kwa wale wenye uelewa kati ya dish LA zuku na star times lipi zuri, in terms of picture & sound quality, wingi wa channels na vitu vingine vingine!

TBC1 Dish Ni Bora Zaidi, Litafute.
 
Zuku inaboa kifurushi kikisha local Chanel wanaziondoa zinabaki ambazo ovyooo,
 
Azam + Zuku ni nzuri kuliko star times but wanachoniudhi hawana channels za mpira hasa UEFA champions League hilo linaniboa sana

Mwenye uzoefu na TING + CONTINENTAL ukilinganisha na AZAM + ZUKU please bijuze....
 
Go for DSTV bro hizi nyingine ni mahewa tu...

Hata kama ukilalamika huna chapaa DSTV wako na package ile ya bei ya chini which is very affordable pamoja na kwamba haina channels nyingi kivile....
 
zuku jana sikuona uefa mechi kubwa kama ile madrid vs liverpool sijajua kipi kinawashinda hata mechi kama zile ambazo ni rahisi kuzirusha
pili siku za hivi karibuni mmejaza chanel nyingi za kwenu tu kenya ,bila uwiano wa kuongeza chanel za hapa bongo pia kama ,dtv,star tv ,mlimani ,capital hii kitu haiko sawa kwa wateja wenu sisi wa tz.tunaelekea december jitahidin kuboresha huduma zenu kwa hapa tz.ZUKU SPORT MI HUWA SIELEWI LABDA NDUGU ZANGU WAKENYA TV HII SI RAFIKI KWA MTEJA WENU WA TANZANIA MAANA IMEJAA UKENYA TU MAANA NI MICHEZO MINGI YA KIKENYA.
 
Back
Top Bottom