Zuio la CAF kwa mechi ya kesho ya Simba dhidi ya El Merreikh

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
3,434
8,581
Tarehe 15.03.2021

Dar,Tanzania.

Nimefuatilia mijadala kwa muda mrefu hapa kwa siku ya jana na leo kwa zuio la CAF kwa mechi ya kesho ya Simba dhidi ya El Merreikh.

Zuio la CAF ni la washabiki kutoingia uwanjani kwa kama ilivyozoeleka huko nyuma. Ama kwa hakika hili ni pigo kubwa katika ustawi wa ushindani kwani kwa kawaida mshabiki ni sehemu ya mchezaji namba 12 uwanjani. Simba inategemea sana mashabiki wake viwanjani ambao hawakati tamaa katika kuishangilia na hujazana kwa wingi viwanjani kuishangilia.

Leo kuwaambia wasiingie viwanjani kuishuhudia timu yao ni pigo japo pigo hilo limetolewa na mamlaka za soka za Afrika ambazo ndio baba ama mama wa soka Afrika.

Lakini je zuio la CAF limekujaje?

Hapo awali kama inavyofahamika katika taifa letu hatupo kwenye lockdown na ni moja ya mataifa machache sana duniani ambayo hayana sheria kali za udhibiti wa janga la corona. Watu wapo free wakimtumainia Mungu wao. Huku wakiwa na furaha ya Rais wao ambaye kutwa haishi kuhamasisha watu kuabudu Mungu na kusisitiza kuhusu tahadhari.

CAF wanaandaa michuano na inaanza na Simba inashiriki kwa maombi yao Simba kuingiza walau idadi ya watu wachache uwanjani.CAF wanairuhusu Simba na kuwa ndio timu pekee kati ya timu zote zinazoshiriki michuano iliyo chini yake.Simba inaingiza watu nusu ya uwanja kwa mechi zake zote inazocheza Dar Es Salaam na CAF ndio watoa ruhusa hiyo.Mechi zaidi ya 3 zinachezwa huku Simba SC ikiingiza watu zaidi ya 30,000. CAF wanaangalia repoti ya makamishna wa mechi zote za Dar Tanzania ambazo Simba inacheza.

Wakati inatoa chagizo la kuruhusu watu kuingia walau nusu ya uwezo wa uwanja kondisheni moja inayotoa ni watu kuvaa barakoa na kukaa kwa walau kiti kimoja mtu kiti kimoja kitupu.Nia ni ile idadi ya nusu uwanja kutimia.

Simba inacheza mechi zake uwanjani na washabiki wengi wa Simba wanajazana viwanjani hawavai barakoa, washabiki hawakai nafasi kwa nafasi kama utaratibu wao CAF unavyotaka.Wanajazana na kuegemeana na bila barakoa na kusababisha wazi kukiukwa kwa taratibu walizoziweka CAF.

CAF kwa kuwa michuano yao inaoneshwa wazi na televisheni mbalimbali duniani wanaona jambo hilo na madhara yake na kwa hofu ya maagizo ya New World Order na mataifa baba yenye nguvu ya kiuchumi juu ya maoambano ya Corona wanaanza kustukia hali hii.

CAF sasa kwa kutoa hukumu,walikuwa na haki kabisa ya kufuta matokeo yote ya uwanjani ya Simba kwa Dar (wengi hatulijui hili ama hatutaki kuliongelea kwa kuwa labda chungu) wao wanatumia njia ya adhabu laini.Wanatualert, wanazuia watu wasiingie kabisa uwanjani na sio kama zuio hilo ni la milele bali ni morning call.

Wanataka tuamke ili next time tutambue kuwa tunapaswa kufuata utaratibu uliowekwa ambao kwa hapa Tanzania watu wamekuwa wavivu na wagumu kuufuata na matokeo yake tunakuja hapa kujipa maneno ya moyo kuwa tumeonewa na kwa sababu ya matokeo yetu chanya.

Kwa kubreach taratibu za CAF halali zilizowekwa ambazo mama yetu TFF amezikubali na ameiambia Simba basi sisi wazi tungeweza kuadhibiwa na CAF kwa kufutiwa mechi zote tu.

Nini hoja yangu?

Hoja ni kuwa tujaribu sana kutii maagizi halali na kuachana na mambo ya hisia hisia.

Tujaribu sana kusikiliza wenye mpira wao wanataka nini tufuate.

Ninayo imani kabisa iwapo muda ungeruhusu na uongozi wa klabu ya Simba ungeweza kukutana na TFF pamoja na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya,Wizara ya Habari na Mamlaka ya ulinzi na usalama Tanzania yangejadiliwa ya kujadiliwa kisha TFF wangeomba kwa CAF walau mashabiki waruhusiwe kuingia uwanjani kwa mechi hizo za Dar.Lakini hii ya Merreikh wazi muda hauruhusu na hautoshi.Badala ya kulalama muda wote basi ni muda mwafaka wa kuangalia wapi tulipokosea na kisha kuketi na kuyafanyia kazi makosefu hayo na hatimaye kurejea tena ktk utaratibu halali unaotakiwa na sio kuvunjwa kwa utaratibu.

Nawasilisha.
 
Tarehe 15.03.2021

Dar,Tanzania.

Nimefuatilia mijadala kwa muda mrefu hapa kwa siku ya jana na leo kwa zuio la CAF kwa mechi ya kesho ya Simba dhidi ya El Merreikh.

Zuio la CAF ni la washabiki kutoingia uwanjani kwa kama ilivyozoeleka huko nyuma. Ama kwa hakika hili ni pigo kubwa katika ustawi wa ushindani kwani kwa kawaida mshabiki ni sehemu ya mchezaji namba 12 uwanjani. Simba inategemea sana mashabiki wake viwanjani ambao hawakati tamaa katika kuishangilia na hujazana kwa wingi viwanjani kuishangilia.

Leo kuwaambia wasiingie viwanjani kuishuhudia timu yao ni pigo japo pigo hilo limetolewa na mamlaka za soka za Afrika ambazo ndio baba ama mama wa soka Afrika.

Lakini je zuio la CAF limekujaje?

Hapo awali kama inavyofahamika katika taifa letu hatupo kwenye lockdown na ni moja ya mataifa machache sana duniani ambayo hayana sheria kali za udhibiti wa janga la corona. Watu wapo free wakimtumainia Mungu wao. Huku wakiwa na furaha ya Rais wao ambaye kutwa haishi kuhamasisha watu kuabudu Mungu na kusisitiza kuhusu tahadhari.

CAF wanaandaa michuano na inaanza na Simba inashiriki kwa maombi yao Simba kuingiza walau idadi ya watu wachache uwanjani.CAF wanairuhusu Simba na kuwa ndio timu pekee kati ya timu zote zinazoshiriki michuano iliyo chini yake.Simba inaingiza watu nusu ya uwanja kwa mechi zake zote inazocheza Dar Es Salaam na CAF ndio watoa ruhusa hiyo.Mechi zaidi ya 3 zinachezwa huku Simba SC ikiingiza watu zaidi ya 30,000. CAF wanaangalia repoti ya makamishna wa mechi zote za Dar Tanzania ambazo Simba inacheza.

Wakati inatoa chagizo la kuruhusu watu kuingia walau nusu ya uwezo wa uwanja kondisheni moja inayotoa ni watu kuvaa barakoa na kukaa kwa walau kiti kimoja mtu kiti kimoja kitupu.Nia ni ile idadi ya nusu uwanja kutimia.

Simba inacheza mechi zake uwanjani na washabiki wengi wa Simba wanajazana viwanjani hawavai barakoa, washabiki hawakai nafasi kwa nafasi kama utaratibu wao CAF unavyotaka.Wanajazana na kuegemeana na bila barakoa na kusababisha wazi kukiukwa kwa taratibu walizoziweka CAF.

CAF kwa kuwa michuano yao inaoneshwa wazi na televisheni mbalimbali duniani wanaona jambo hilo na madhara yake na kwa hofu ya maagizo ya New World Order na mataifa baba yenye nguvu ya kiuchumi juu ya maoambano ya Corona wanaanza kustukia hali hii.

CAF sasa kwa kutoa hukumu,walikuwa na haki kabisa ya kufuta matokeo yote ya uwanjani ya Simba kwa Dar (wengi hatulijui hili ama hatutaki kuliongelea kwa kuwa labda chungu) wao wanatumia njia ya adhabu laini.Wanatualert, wanazuia watu wasiingie kabisa uwanjani na sio kama zuio hilo ni la milele bali ni morning call.

Wanataka tuamke ili next time tutambue kuwa tunapaswa kufuata utaratibu uliowekwa ambao kwa hapa Tanzania watu wamekuwa wavivu na wagumu kuufuata na matokeo yake tunakuja hapa kujipa maneno ya moyo kuwa tumeonewa na kwa sababu ya matokeo yetu chanya.

Kwa kubreach taratibu za CAF halali zilizowekwa ambazo mama yetu TFF amezikubali na ameiambia Simba basi sisi wazi tungeweza kuadhibiwa na CAF kwa kufutiwa mechi zote tu.

Nini hoja yangu?

Hoja ni kuwa tujaribu sana kutii maagizi halali na kuachana na mambo ya hisia hisia.

Tujaribu sana kusikiliza wenye mpira wao wanataka nini tufuate.

Ninayo imani kabisa iwapo muda ungeruhusu na uongozi wa klabu ya Simba ungeweza kukutana na TFF pamoja na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya,Wizara ya Habari na Mamlaka ya ulinzi na usalama Tanzania yangejadiliwa ya kujadiliwa kisha TFF wangeomba kwa CAF walau mashabiki waruhusiwe kuingia uwanjani kwa mechi hizo za Dar.Lakini hii ya Merreikh wazi muda hauruhusu na hautoshi.Badala ya kulalama muda wote basi ni muda mwafaka wa kuangalia wapi tulipokosea na kisha kuketi na kuyafanyia kazi makosefu hayo na hatimaye kurejea tena ktk utaratibu halali unaotakiwa na sio kuvunjwa kwa utaratibu.

Nawasilisha.
Yaaani umekuja na hisia zako afu unasema ni CAF,
Taarifa ya CAF ilisema imezuia mashabiki katika viwanja vyote hawakusema simba tu.
Pili, Kamisaa wa mchezo hawezi kujua idadi ya mashabiki walioingia uwanjani hadi aende akatoe taarifa CAF, wenye kujua ni Serikali maana zile tiketi ni za electronic ko idadi ya tiketi inaeleweka. Kamisaa sio kazi yake kujua idadi ya mashabiki.
Tatu hata hiyo ndio ingekua hoja ya CAF bado tuna sababu ya kuhoji maswali, Je baada ya watu kutokuvaa barakoa kuna kiongozi yoyote wa CAF, timu pinzani au Wachezaji waliopata korona baada ya kutoka Tanzania?
Tanzania tunaishi bila shida tunatembea bila barakoa, unaanzaje kusema wavae barakoa?
Sema kwa vile ni maoni yako niishie hapa, ila umekurupuka
 
... Wakati inatoa chagizo la kuruhusu watu kuingia walau nusu ya uwezo wa uwanja kondisheni moja inayotoa ni watu kuvaa barakoa
Mkuu, nimekuomba uweke hapa huo waraka kutoka CAF unaoonyesha kwamba ilikuwa ni condition kwamba washangiliaji wavae barakoa
 
Mleta mada umetumia zaidi HISIA kuelezea taarifa ya CAF pasina kutumia UHALISIA

Hakuna sehemu yoyote ktk taarifa ya CAF ilioelezea sababu za kuzuia mashabk kuingia uwanjani eti zimesababishwa na ukiukwaji wa mashabk mechi za Simba kutokuvaa barakoa na kuweka umbali baina ya mtu na mtu
 
Yaaani umekuja na hisia zako afu unasema ni CAF,
Taarifa ya CAF ilisema imezuia mashabiki katika viwanja vyote hawakusema simba tu.
Pili, Kamisaa wa mchezo hawezi kujua idadi ya mashabiki walioingia uwanjani hadi aende akatoe taarifa CAF, wenye kujua ni Serikali maana zile tiketi ni za electronic ko idadi ya tiketi inaeleweka. Kamisaa sio kazi yake kujua idadi ya mashabiki.
Tatu hata hiyo ndio ingekua hoja ya CAF bado tuna sababu ya kuhoji maswali, Je baada ya watu kutokuvaa barakoa kuna kiongozi yoyote wa CAF, timu pinzani au Wachezaji waliopata korona baada ya kutoka Tanzania?
Tanzania tunaishi bila shida tunatembea bila barakoa, unaanzaje kusema wavae barakoa?
Sema kwa vile ni maoni yako niishie hapa, ila umekurupuka
Kwa taatifa yako kuna viwanja vimeruhusiwa ikiwemo mechi ya Ahly na vita

Na leo mchana ahly wamepinga
IMG-20210315-WA0038.jpg
 
Yaaani umekuja na hisia zako afu unasema ni CAF,
Taarifa ya CAF ilisema imezuia mashabiki katika viwanja vyote hawakusema simba tu.
Pili, Kamisaa wa mchezo hawezi kujua idadi ya mashabiki walioingia uwanjani hadi aende akatoe taarifa CAF, wenye kujua ni Serikali maana zile tiketi ni za electronic ko idadi ya tiketi inaeleweka. Kamisaa sio kazi yake kujua idadi ya mashabiki.
Tatu hata hiyo ndio ingekua hoja ya CAF bado tuna sababu ya kuhoji maswali, Je baada ya watu kutokuvaa barakoa kuna kiongozi yoyote wa CAF, timu pinzani au Wachezaji waliopata korona baada ya kutoka Tanzania?
Tanzania tunaishi bila shida tunatembea bila barakoa, unaanzaje kusema wavae barakoa?
Sema kwa vile ni maoni yako niishie hapa, ila umekurupuka
tumuelewe mtoa mada kwa maana pana ya kumuelewa zaidi kuliko kuona ni ushauri wake tuu. Kuna Muongozo wa Kidunia juu ya Umbali baina ya mtu na mtu katika mapambano ya Gonjwa la covid19.

Hivyo kuendelea kujazana hata kama hakuna madhara CAF wataonekana wamepuuza na wenda wakaadhibiwa wao kwakuruhusu mashindano yao kushabikiwa bila social distance hivyo kuonekana wanapinga juhudi la shirika la Afya duniani na endapo litatokea lakutokea wao watapaswa kuwajibika,

Hatuombei chukulia ikatokea maambukizi kwa wingi katika jiji la dar, moja ya sababu itakua ni misongamano na ni pamoja na mashabiki kujazana viwanjani. Kuona hilo CAF wamejitoa kiaina katika lawama na hiyo ndio tunasema tahadhari kabla ya hatari.
 
Tatizo la mashabiki wa Simba na viongozi wao na hasa yule mbwatukaji wao, ni ubishi na ukaidi! Wakati mwingine labda watajifunza kupitia hili katazo la CAF.

Mtoa mada ulicho kiandika kina uhalisia kwa asilimia nyingi! ingawa bado unaendelea kupingwa.
 
tumuelewe mtoa mada kwa maana pana ya kumuelewa zaidi kuliko kuona ni ushauri wake tuu. Kuna Muongozo wa Kidunia juu ya Umbali baina ya mtu na mtu katika mapambano ya Gonjwa la covid19.

Hivyo kuendelea kujazana hata kama hakuna madhara CAF wataonekana wamepuuza na wenda wakaadhibiwa wao kwakuruhusu mashindano yao kushabikiwa bila social distance hivyo kuonekana wanapinga juhudi la shirika la Afya duniani na endapo litatokea lakutokea wao watapaswa kuwajibika,

Hatuombei chukulia ikatokea maambukizi kwa wingi katika jiji la dar, moja ya sababu itakua ni misongamano na ni pamoja na mashabiki kujazana viwanjani. Kuona hilo CAF wamejitoa kiaina katika lawama na hiyo ndio tunasema tahadhari kabla ya hatari.
Wengine wamezaliwa kupinga tu mkuu hivi unadhani CAF wataruhusu mashabiki bila Conditions?
 
Tatizo la mashabiki wa Simba na viongozi wai na hasa yule mbwatukaji wao, ni ubishi na ukaidi! Wakati mwingine labda watajifunza kupitia hili katazo la CAF.

Mtoa mada ulicho kiandika kina uhalisia kwa asilimia nyingi! ingawa bado unaendelea kupingwa.
Napenda wafahamu mimi pia ni Simba lakini ukweli unapaswa kusemwa
 
Ety adhabu ilibidi CAF kufuta matokeo yote ya simba



Mtoa bada ni utopolo mwenye roho ya chuki,,,sema tu kaja na hoja zilizokaa kama za mtu smart
 
Yaaani umekuja na hisia zako afu unasema ni CAF,
Taarifa ya CAF ilisema imezuia mashabiki katika viwanja vyote hawakusema simba tu.
Pili, Kamisaa wa mchezo hawezi kujua idadi ya mashabiki walioingia uwanjani hadi aende akatoe taarifa CAF, wenye kujua ni Serikali maana zile tiketi ni za electronic ko idadi ya tiketi inaeleweka. Kamisaa sio kazi yake kujua idadi ya mashabiki.
Tatu hata hiyo ndio ingekua hoja ya CAF bado tuna sababu ya kuhoji maswali, Je baada ya watu kutokuvaa barakoa kuna kiongozi yoyote wa CAF, timu pinzani au Wachezaji waliopata korona baada ya kutoka Tanzania?
Tanzania tunaishi bila shida tunatembea bila barakoa, unaanzaje kusema wavae barakoa?
Sema kwa vile ni maoni yako niishie hapa, ila umekurupuka

Tuwekee hapa hiyo Taarifa ya CAF inayosema imezuia mashabiki kwa Viwanja vyote na timu zote.

Kama taarifa unayosema uliisikia kwa Manara, basi jua you were wrong informed.

Mtoa mada yupo sahihi, kimsingi mlitakiwa kufutiwa mechi zote, sijui kwanini CAF haikutekeleza hili.

Halafu mkajitia kuandika barua kujifanya mpo smart kuwa wachezaji waliochezeshwa na Al merikh walifungiwa. Hapo ndio CAF wakaona nyie ni maluza.

Kwanza unafikiaje hatua ya kuandika barua bila ya kufanya research za kutosha juu ya sharia za nchi husika na CAF, si mna Connection, mngepiga simu hata kwq maafisa wa CAF kupata ufafanuzi kabla ya kujichoresha na ma barua huku mkipost Kwenye social media.

Yaani mmeonesha akili kisoda.

CAF wanajua nyie hamfuatishi sheria na maagizo mnayopewa, yaani mpo sooo rough nje ya maagizo ; hapo hapo mnapata guts za kuchongea wengine bila ya kufanya Tafiti za kutosha.

Sasa mmepigwa PIN ili mjifunze na muwe na AKILI next time , na mkifanya mchezo hamtoboi, mechi za bila mashabiki ni ngumu pande zote.

Badala ya kuangalia wapi mlikosea , mnabaki kulia lia.
 
Tatizo la mashabiki wa Simba na viongozi wao na hasa yule mbwatukaji wao, ni ubishi na ukaidi! Wakati mwingine labda watajifunza kupitia hili katazo la CAF.

Mtoa mada ulicho kiandika kina uhalisia kwa asilimia nyingi! ingawa bado unaendelea kupingwa.
Issue sio uhalisia, issue ni kuwapachikia watu maneno, alete waraka wa CAF unaosema kwanini wamezuia na tuzione hizo sababu alizotaja yeye.Vinginevyo itabaki kuwa hisia, hisia sio lazima ziwe sio sahihi lakini kama Hazina ushahidi zitabeba sifa ya kuitwa hisia
 
Back
Top Bottom