Hapo unajiona unaaakili mwenyewe.Hayo mngekuwa mnawafanyia wanaowaibia mabilioni ya kodi zenu mngekuwa mmefanya jambo la maana,sio kumuua kibaka aliyeiba tekno ya laki mbili tena bila silaha.Kwanza ukute hata wewe mwizi tu,eidha unaibia ofisi,unaiba mke wa mtu etc.Kama hujawahi kuiba chochote katika maisha yako hapo unaweza kunyooshea wengine vidole.
Sent using
Jamii Forums mobile app