Zte modems k3570-z inachakachulika

Arselona

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
643
153
Ninapoandika thread hiii ninatumia modem yangu niliyochakachua muda si mrefu.kwa sasa natumia mtandao wa airtel kuwa online.if u dont bother pm me and i will help u at my conviniency .:majani7::majani7::majani7:
 
Mkuu ahsante sana, lkn for some strange reason, siwezi kuku-pm. Naomba msaada. Modem yangu ni model K3570-z,
IMEI: 359592035473902

Natanguliza shukrani
 
Mkuu ahsante sana, lkn for some strange reason, siwezi kuku-pm. Naomba msaada. Modem yangu ni model K3570-z,
IMEI: 359592035473902

Natanguliza shukrani
nimeshishindwa kuatach file lake nipigie kwa 0784624623 au nipe email yako kikupe mautundu
 
thread za kuchakachua zime jaa sana humu tafuteni mtaona .hadi downla links na msada .
 
Msaada huo hapo kwa wote hakuna kukamuana vipesa vyetu vya ngama hapa. JF kwa manufaa ya wote!!!
 

Shukrani sana mkuu...

Hivi Mkuu na hizi mpya za airtel huawei e153 inakuwa vp... Koz njia ya kawaida ya kuunlock inasumbua...

Thanks...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…