Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Sijaelewa ni nini hicho kina kazi gani au kimetoka baharini kwa yule mtu wako?
Sijaelewa ni nini hicho kina kazi gani au kimetoka baharini kwa yule mtu wako?
Gaga hio haina uhusiano wowote na majini, na vinauzwa hata madukani,vinatumika kwenye utundu
Ivuga huna malenga yoyote, kwanza kipande chako cha maneno hakieleweki kama ni wimbo, tenzi, shairi, ukawafi, wajiwaji au utendi? Sijaona kanuni yoyote ya kishairi hapo. Nisaidie tafadhali.
duh,mbona kama mapenzi ndo hivi ni mateso sasa,stuffs zote hizo za nini?
Yule anayembakaga IVUGA?
uwiii!! mateso tena? naomba niwe jirani yako tafadhali..when i say zonee romantic simaanishi kuwa unaishi wewe na wanao watatu au wanne kwenye chumba kimoja then useme utaweza haya mambo....kula nanasi kwahitaji nafasi
duh,mbona kama mapenzi ndo hivi ni mateso sasa,stuffs zote hizo za nini?
Mateso mwenzangu, haya sie hatuyawezi mambo ya kidhungu.
sibakwi tafadhali bali naletewa mabo
nimemuuliza gaga anasali wapi niende naye hajanijibu
mmmm ,mrembo hii kitu inartumika kwenye kuongezea maujanja...na huwezi kuitumia kila siku au sku zote..ina mda wake/siku zake za kutumika na inategemea tena na moods za wahusikaIvuga hizo zinatumikaje?BTW hayo mashairi yana uhalisia
kwa nini hutaki nije kanisani kwako? mimi sio jini tafadhali dada yangu,mimi ni rafiki mwemaNenda kanisa lolote lililo karibu na nyumbani kwenu huna haja kuja nalosali Mungu yuko popote pale, si unaona unavyokuja na thread hizi hayo mambo unayopewa na jini sie ni mageni kwetu, mara paka , mara pingu,Nenda kw mtumishi babu au kwa moses kulola ukaombewe
Gaga hio haina uhusiano wowote na majini, na vinauzwa hata madukani,vinatumika kwenye utundu
kwa nini hutaki nije kanisani kwako? mimi sio jini tafadhali dada yangu,mimi ni rafiki mwema
Huu utundu labda huko mamtoni vitanda pia vingi vinaruhusu, unaweza mlock mtu, hapa bongo mtu karithishwa mninga wake atamfungia wapi mpenzi wake?
poa ngoja ni ku pm ..unielekeze vizuri dearNjoo Efatha mi nasali popote kesho naenda Efatha , Jioni leo nitenda makonde mbezi kuna kanisa pia