Zoezi la Bashite na umati mkubwa wa watu

Zoezi la Bashite na umati mkubwa wa watu

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Kinachoendelea Dar kwa zoezi lililobuniwa na bashite la kuwapa watu fulsa ya kuwaona wanasheria na kutoa dukuduku zao limepata mwitikio mkubwa na watu wengi wanasifia kwa namna wanavyosaidika ,
kiukweli hata mimi nimeona ni jambo ambalo limeweza kuibua makubwa yaliyokuwa yamejificha ,dhuruma zilizokuwa zimepewa kibari lakini sasa zimetibuka.

hii inaonesha kulikuwa na udhaifu sana wa utendaji wa kitaasisi hasa zile zinazohusika na huduma kwa jamii.
Ombi langu, mkuu wa mkoa kama anataka kutibu chanzo cha haya matatizo, apambane kuimarisha taasisi ili mambo yawe endelevu.lazima mfumo uwe wazi na huru kutatua matatizo ya wananchi on daily bases. tumpongeze kwa hili pia ,
 
Baada ya hapo kuwasaidia waliyozulumiwa haki zao...amesema anahamia kwenye upande wa baba waliotelekeza watoto wao...sasa nadhani hapo akifanikiwa kutibu tatizo la baba kukataa watoto wao nakuwatelekeza ...hapo ntaacha kumuita bashite ...coz atakuwa amepunguza watoto wa mitaani kwa asilimia kubwa na pia kurudisha furaha kwa watu waliokata tamaa...na singles mothers wataishi maisha flani mazur.
 
Yule mlemavu wa macho aliyetobolewa na scorpion hajajengewa nyumba mpaka leo.

Mkumbushe Daudi hili
 
Taja mambo kumi aliyoyafanya ambayo wengine hawayawezi na faida zake. Na
Viongozi wote wanaweza, ila hoja hapa ni huyu anayetends huku wengine hawatendi.
Waulize hao, kwanini hawatendi angalau kama MAKONDA? Kipi kinawazuia kama kweli wanaweza na ni mahiri ktk kazi zao?
Hawaoni aibu?
 
Yule mlemavu wa macho aliyetobolewa na scorpion hajajengewa nyumba mpaka leo.

Mkumbushe Daudi hili
Kwanini usimkumbushe kwa kuanzisha harambee ya kumjengea mhanga huyu?
Mpige bado la kiadili ili ajue hata wewe unaweza.
Vinginevyo funga mdomo
 
Baada ya hapo kuwasaidia waliyozulumiwa haki zao...amesema anahamia kwenye upande wa baba waliotelekeza watoto wao...sasa nadhani hapo akifanikiwa kutibu tatizo la baba kukataa watoto wao nakuwatelekeza ...hapo ntaacha kumuita bashite ...coz atakuwa amepunguza watoto wa mitaani kwa asilimia kubwa na pia kurudisha furaha kwa watu waliokata tamaa...na singles mothers wataishi maisha flani mazur.
mimi kwa hili linaloendelea sina objection kabisa, maana kuna watu walikuwa hawana pakusemea ,lakini angalau tumeona mpaka wabibi kabisa wanapata msaada wa kisheria hasa dhidi ya dhuruma , na hapa mjini kuna mijitu kazi yake kudhurumu wanyonge.
 
Tuambie ni jambo gani alilofanya Makonda na akafanikiwa?

Upandaji miti holaaaa

Nauli za Walimu holaaa

Kutafuta wasio na kazi holaaa
Mali Vila daftari huisha bila tarifa....anakosa strategy for long plan.....tunafanyia ........
 
Baada ya hapo kuwasaidia waliyozulumiwa haki zao...amesema anahamia kwenye upande wa baba waliotelekeza watoto wao...sasa nadhani hapo akifanikiwa kutibu tatizo la baba kukataa watoto wao nakuwatelekeza ...hapo ntaacha kumuita bashite ...coz atakuwa amepunguza watoto wa mitaani kwa asilimia kubwa na pia kurudisha furaha kwa watu waliokata tamaa...na singles mothers wataishi maisha flani mazur.
Upo sawa.. .lakin watoto wengi tunabambikiwa na wanawake just y sometimes tunagomesha ... .so mwambie ajiandae na fungu kwa ajiri ya DNA
 
Viongozi wote wanaweza, ila hoja hapa ni huyu anayetends huku wengine hawatendi.
Waulize hao, kwanini hawatendi angalau kama MAKONDA? Kipi kinawazuia kama kweli wanaweza na ni mahiri ktk kazi zao?
Hawaoni aibu?
Wanajitambua...na wanajua mipaka ya kaz zao just y hawana matukio ya kumake tension kwa watu ili tu ajulikane......
 
Mali Vila daftari huisha bila tarifa....anakosa strategy for long plan.....tunafanyia ........
ndo maana hata mimi nikasema mwanzo kuwa anatakiwa apambane sana kuimarisha taasisi kwa kuzifanya zitende haki,uwazi na ufanisi, japo wakati mwingine linakuwa ni suala pana sana kuimarisha hizo taasisi maana inategemeana na nguvu kutoka mamlaka zingine pia.
 
Nlimpeleka mtu pale amesaidiwa na kwa jinsi ilivofanyika naamini atafanikiwa.....fikra nzuri japo RWANDA wanalifanyaga hili....nahisi ametuhamishia wazo ilo pia kwetu....kwa hil kumpongeza haina budi
 
Makonda aliwanyoosha wauza madawa wa ufipa na sasa anaendelea kuwanyoosha.

Huku wananchi wakiendelea kumuunga mkono Makonda.
Unaumwa wewe sio bure! Kwa taarifa yako wauza ngada wote ni makada wa ccm na ndio walikuwa wafadhili wenu wakuu na huenda hata wewe ulikuwa mnifaika kwa kulipwa buku tano kipindi cha kampeni!
Jiulize, ni kwanini lilizimwa kama mkaa wa wakati wa dhiki na hadi leo kimya am mateja yamerudia palepale kwa kasi ileile na kwa bei affordable kabisa! Nani wanaingiza na kuuza kama siyo makada wa lumumba fc ccm?
 
Back
Top Bottom