Zitto: Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa Lema na wananchi wengine

inakiukaje s
 
Kwa sasa TLS ni.tawi la CCM
Ninataka kusikia watakachosema kuhusu hili. Serikali imekwishaonyesha kuwa taasisi inasemwa kuingiliwa na siasa pale tu inapoonekana kuunga mawazo ya upinzani. lakini ikiunga chama tawala na hata viongozi wake wakiwa na kadi za uanachama wa chama hicho, hapo kunakuwa hakuna siasa! TLS na ZLS needs to get out of this.
 
Hongera zitto,naona una tii ule usemi usemao"if you can't beat them,join them"

GOODY

Acha kumfananisha Zito na mambo ya kijinga...Kwa akili yako unadhani Zitto alienda kujipendekeza kwa Mbowe...? Zitto anabebwa na hoja na akili zake.
 
zito kama vile amerukwa na AKILI vilema dpp anahusikaje kwenye kutoa dhamana mwendesha mashtaka anayohaki ya jupinga dhamana ya mshtakiwa na mahakama ikajiridhisha na mashiko ya ya kutokutoa dhamana shida iko wapi


Wewe ndio umerukwa na akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…