kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,180
- 16,183
Salamu kwake fatuma karume ukonga ipo wazi!
Zitto ni mgonjwa mbona yy alihama, mwita kaongea ukweli mbowe ni mungu mtu chademaNilifikiri zito atakuja kupangua hoja za mwita lkn naona amekuja kutafuta sympathy za kijinga. Aliyoyaongea mwita ndio hayohayo yaliyomtoa yy huko chadema.Au ttz ni mwita kaongea?Kuumwa kwa lisu kunamzuia vipi mtu kuhama chama na kwenda sehem anayoona yy ni sahihi kwa malengo yake aliyojiwekea?Eti lisu yuko hospital, so?Niliwah eleza hili la lisu kila mtu anamtazamo wake na katu hatuwez kuwa sawa,shida ni pale mnapotaka kila mtu afeel ka mnavyofeel hata ka ni kwa unafki basi naye afeel hivo.Msitumie lisu kuendesha hoja zisizo na mashiko.
Kaelezea kwenye hotuba yake kwamba chadema bila kuwa na kesi we sio kamanda,Je hizi ndio siasa?Je kama hakubaliani na fikra hizi abaki chadema anatafuta nini?Nafikiri zito kapotoka zaid na mbaya anatumia wasiojielewa kuonesha upotovu wake.Mwambie zito aje apangue hoja moja baada ya nyingine alizosema Waitara
Na hili la gharama ndilo wengi wanaoongea kishabiki wanasahau. Jamani kwetu sisi wananchi tunachohitaji si kurudiwarudiwa uchaguzi, unless na sisi pia tunachukulia maisha na muda kimzaha.1. Unasahau kwamba hizo gharama za kujitakia za kurudia Uchaguzi unnecessarily na wewe utazibeba 2. Wewe na Lissu nani anayejua mbaya wake? Wewe unajua zaidi kuliko mhanga mwenyewe? Mahaba yako yasikufanye kipofu wa akili.
Hamna kitu kama hicho...! Hayo ni maneno tu ya muongo polepoleCCM Ilikataa baadhi ya Maombi ya walIotaka kujiunga CCM HUenda ndio chanzo Cha hasira Za Zitto
Acha ukabila yale ni maamuzi yake binafsi sio ya wakuryaHivi wakurya wa dar ndio wale wale wa Tarime?
Sijui kwanini mjuaji zito hajaongelea hii hoja zaidi kutaka kutumia mattz ya lisu kuficha mambo.Zito ni mnafki.Alipoondoka Nyarandu,walijikita kuchambua sababu zake na sio kumchambua Nyarandu binafsi au makando kando yake na ilikua ukimjadili Nyarandu unaambiwa jadili hoja zake,Kwa mwita hali ni tofaut sioni uko ufipa wakijadili udikteta wa Mbowe,Ruzuku,Kupenda fujo,Kupinga kila kitu nk.Hawa watu ni WANAFKI KIWANGO CHA SGR.Chacha Wangwe RIP
Dhambi ya usalitimbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
Hahahahaha mkuu lakin tabia ya mtu mmoja.mmoja na hulka za kikabilaAcha ukabila yale ni maamuzi yake binafsi sio ya wakurya
Very painful! Kweli Waafrika tumelaaniwa!mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
Mmoja wa Watanzania wanaopaswa kupuuzwa zama hizi ni pamoja na Zitto, ni mnafiki sana tena yuko tayari kuua upinzani. Atueleze alitokatokaje Chadema akajiunga ACT?mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!