Zitto: Waitara unazungumzia kumwona Lissu, wewe ulienda lini? Wabunge kila siku wana kesi za kupigania haki, hivi wauaji unaenda kushirikiana nao?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..

"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"

zitto kabwe!
 
Tujitahidi kuwa wavumilivu na makini zaidi maana kila mtu akiamuacho kina manufaa upande wake kuliko wako!! Welcome to changes!!
 
mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..

"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"

zitto kabwe!
Huyu jamaa anataka watu watumie akili zake tu
 
Siasa haihitaji hasira. Zito atulie tu maana kila mtu anajua namna gani afanye kuridhisha nafsi yake na namna gani atailisha familia yake..Chadema humo ndani wanamambo mazito sana ni vile wengine hamjui.

Katumia haki yake kikatiba kuhama na nisawa tu. Waliotaka kumtoa lissu SIYO SISIEMU NARUDIA SIYO SISIEMU

MUDA UTASEMA.
 
Siasa haihitaji hasira. Zito atulie tu maana kila mtu anajua namna gani afanye kuridhisha nafsi yake na namna gani atailisha familia yake..Chadema humo ndani wanamambo mazito sana ni vile wengine hamjui.

Katumia haki yake kikatiba kuhama na nisawa tu. Waliotaka kumtoa lissu SIYO SISIEMU NARUDIA SIYO SISIEMU

MUDA UTASEMA.
vema
 
Kubwa la WANAFIKI katika ubora wake !! Mbona na yeye yuko NJIANI haifiki November atazisifia zile Bombardier 2 zinazokuja na atatangaza kujiunga siasa za HAPA KAZI TU, kama mnabisha. SUBIRINI !
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom