The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 655
- 1,030
Wanadamu ni watu wa kusahau maneno yao
Hahah!! Jina tu ni la kikurya unahitaji nini zaidi?Huyu Mwita Waitara achunguzwe Ukurya wake, sijawahi kuona Mkurya asiye na msimamo na mjinga wa kiwango hiki.
Atakuwa mkurya chotaraHahah!! Jina tu ni la kikurya unahitaji nini zaidi?
Chili wwZitto inaonekana una ushahidi usiotia shaka kuwa hao alionde kujiunga nao Mh. Waitara ndio wahusika. Kama ni hivyo unaonaje ukasadia kutoa huo ushahidi ili sheria ichukue mkondo wake? Halafu unapozungumzia kesi, hivi unataka kutuambia kuwa kile kilichozungumzwa na Mbowe wakati wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi kilikuwa sahihi na hakikuvunja sheria za nchi? Au hili nalo unaliona gumu kulisema. Au unajifanya kusahau kuhusu hiyo hotuba? Basi kwa kukusaidia tu hebu isikilize hii hotuba halafu urudi twitter ukaangalie ulichokiandika. Hivi mkishikaga hizo nafasi huwa mnaona sisi wananchi hatujui chochote kuhusu sheria za nchi? Jifunzeni kufanya siasa zinazofuata misingi, kanuni na sheria za nchi.
Upinzani wana fanya kosa kubwa sana kuwaamini walio kuwa makada wa Ccm na kuwapa nafasi kubwa kwwnye upinzani. Hili liwe fundisho. Tuwape madaraka waasisi wa chama. Haya makapi ya Ccm tusiyaamini. Tembo hasahau njia yake. Go Waitara. Goooombunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
Kila la her Mwita Waitara
Thibitisha Maneno yako.Huyu Mwita Waitara achunguzwe Ukurya wake, sijawahi kuona Mkurya asiye na msimamo na mjinga wa kiwango hiki.
Ndugu Zitto, hebu jiangalie vizuri, hao unaowatetea ni walewale waliotaka kukuvua ubunge na uanachama kwa nguvu, ambao hawakuthubutu kwenda ku.julia hali Marehemu Mama yako alipolazwa hospitali, ambao hawakuhudhuria mazishi yake .mbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
1. Unasahau kwamba hizo gharama za kujitakia za kurudia Uchaguzi unnecessarily na wewe utazibeba 2. Wewe na Lissu nani anayejua mbaya wake? Wewe unajua zaidi kuliko mhanga mwenyewe? Mahaba yako yasikufanye kipofu wa akili.Siasa haihitaji hasira. Zito atulie tu maana kila mtu anajua namna gani afanye kuridhisha nafsi yake na namna gani atailisha familia yake..Chadema humo ndani wanamambo mazito sana ni vile wengine hamjui.
Katumia haki yake kikatiba kuhama na nisawa tu. Waliotaka kumtoa lissu SIYO SISIEMU NARUDIA SIYO SISIEMU
MUDA UTASEMA.