Zitto UVCCM inakupa kiwewe?

Zitto UVCCM inakupa kiwewe?

Nafikiri la matamko iambie Bavicha...UVCCM waulize mwaka huu wamesaidia vijana wangapi masikini uapate Data.
Uvccm ndio imetoa kijana anaongoza mkoa wa Dsm Mr Makonda
Mkuu wa mkoa wa Tanga ,Simiyu,Mwanza,
Waziri wa habari
Naibu waziri Mavunde vijana
Uvccm sasa inawabungr zaidi ya kumi si taasisi yakitoto.

Nawaunga mkono kina asenga
Fikiri kwa makini wataachaje kupata hizo nafasi wakati CCM ndio chama tawala?! Hizo nafasi zingekuwa zinafanyiwa usaili nakuhakikishia hakuna hata mmoja kati ya hao ulio wataja wangepata hizo nafasi kwa CV gani hasa? Nafasi ya kupewa zawadi unaona ni ujuzi au akili? Kweli elimu ya kufikiri pia mpaka msaada wa MCC?! hovyo kweli.
 
Fikiri kwa makini wataachaje kupata hizo nafasi wakati ccm ndio chama tawala?! Hizo nafasi zingekuwa zinafanyiwa usaili nakuhakikishia hakuna hata mmoja kati ya hao ulio wataja wangepata hizo nafasi kwa cv gani hasa? Nafasi ya kupewa zawadi unaona ni ujuzi au akili? Kweli elimu ya kufikiri pia mpaka msaada wa mcc?! hovyo kweli.
Kipimo ni kutimiza wajibu wao.wanatimiza? Basi.MANENO YA MKOSAJI DA.DA.
 
UVCCM ni mamburula hawajitambui wala hawajui wako kwenye chama kufanya nini, rejea sakata la juzi UVCCM Arusha, kamanda wa mkoa amemtimua kada maarufu mlezi wa vijana Mathias Manga kuwa ni msaliti na ametangaza kwenye vyombo vya habari, kamanda wa UVCCM Arumeru amekanusha kutimuliwa kwa Mathias na kumuita kamanda wa mkoa mpuuzi na amekurupuka wao wanamtambua Mathias, ila hawamtambui kamanda wao wa mkoa na kutaka chama kimfukuze yeye..sasa hawa wanaofanya mambo kama chekechea zitto anaweza hata kuwafikiria mara mbili? Wampe kiwewe cha nini? labda kuwaokoa kama watapata ajali anaweza pata kiwewe kwa kuona binadamu wana majanga ila si UVCCM?!
Kukusaidia tu makamanda si viongozi wa jumuiya wala wasemaji wa jumuiya.unataka wamuache kibaraka wa nywele nyeusi ili iweje.ata wa mkoa akiwa jipu atatumbuka tu.eti wa mkoa kasema yeye ndie kikao ama mwenyekiti wa mkoa?isome kanuni yao UVCCM uelewe
 
katapeliwa Mbowe amtoe Yule mzee wa nje amuweke nywele nyeusi atashinda Urais seuze wajinga wanaonunua ardh kama shati.nenda na wewe kanunue.Lukuvi kiboko


Ukuu wa Wilaya utakutoa nyongo safari hii.Hivi si una ile ID ya jina lako huku?Ile ingekufanya uwe noticed haraka na mamlaka ya Uteuzi

Halafu jifunze kuandika kiswahili vizuri.Taarifa ya taasisi inayoheshimika huwa haitolewi hivyo.Sio taarifa ya kutangaza tamasha la muziki wa Taarabu hiyo.
 
Kukusaidia tu makamanda si viongozi wa jumuiya wala wasemaji wa jumuiya.unataka wamuache kibaraka wa nywele nyeusi ili iweje.ata wa mkoa akiwa jipu atatumbuka tu.eti wa mkoa kasema yeye ndie kikao ama Mkt wa mkoa?isome kanuni yao uvccm uelewe
Hawajitambui, wangekuwa wanajua kuna KANUNI wasingetoka hadharani viongozi wa juu na kauli kinzani, hapo upo?! Au ukisikia kanuni unajua zinabaki kwenye makaratasi tu?!
 
Ukuu wa Wilaya utakutoa nyongo safari hii.Hivi si una ile ID ya jina lako huku?Ile ingekufanya uwe noticed haraka na mamlaka ya Uteuzi

Halafu jifunze kuandika kiswahili vizuri.Taarifa ya taasisi inayoheshimika huwa haitolewi hivyo.Sio taarifa ya kutangaza tamasha la muziki wa Taarabu hiyo.
Mkuu taaluma ya uandishi ataijulia wapi huyu kanjanja, taaluma waliyofaulu UVCCM ni kulamba viatu vya watawala tu.
 
UVCCM walipewa pesa na waziri hili kumtukana zito ni kweli kabisa maana jamaa yangu wa UVCCM alinieleza kabla ya hilo tukio 100% its true

swissme
 
UVCCM ni wachawi Vijana, wakizeeeka watakua Vigagula.....take my word, huwezi kuwa na akili ukajiunga na UVCCM. Utakua kama Dr. Rutengwe aliesema Nimekosa mimi nimekosa sana.....hahahahahaahha
 
Ukuu wa Wilaya utakutoa nyongo safari hii.Hivi si una ile ID ya jina lako huku?Ile ingekufanya uwe noticed haraka na mamlaka ya Uteuzi

Halafu jifunze kuandika kiswahili vizuri.Taarifa ya taasisi inayoheshimika huwa haitolewi hivyo.Sio taarifa ya kutangaza tamasha la muziki wa Taarabu hiyo.
Nilizani utajibu Mbowe hajatapeliwa!! Msalimie Mnyika na Mwalimu waambie wasiwe na Hasira
 
uvccm walipewa pesa na waziri hili kumtukana zito ni kweli kabisa maana jamaa yangu wa vccm alinieleza kabla ya hilo tukio 100% its true

swissme
Zitto ni kijana mzuri hawezi kutukanwa kama ambavyo Nassar yupo sasa
 
UVCCM ni wachawi Vijana, wakizeeeka watakua Vigagula.....take my word, huwezi kuwa na akili ukajiunga na UVCCM. Utakua kama Dr Nanihii aliesema Nimekosa mimi nimekosa sana.....hahahahahaahha
Ukiwa na akili utajiunga na maneno ya Msigwa"ukiona mtu yeyote anaongozwa ama anamuunga mkono Lowassa basi mtu huyi akapimwe akili..."
 
Hawa vijana si ndiyo tunaambiwa kwamba wanapenda kutembelea pwani ya Mombasa!? Hawawezi kuwa size ya Zitto hata kidogo. Mombasa na Zitto wapi na wapi!!?
 
Back
Top Bottom