Zitto upo wapi juu ya hili la ufisadi wa NSSF?

Zitto upo wapi juu ya hili la ufisadi wa NSSF?

kama kuna watu hatari kabisa hapa tanzania kwa maslah ya Taifa na amani zitto ni mmoja wapo. ili apate anachotaka zitto can say anything. Ni mnafiki na muongo wa kutupwa. hawezi msema vibaya Mdau mwenzie dr dau kwa kuwa ameneemeka na pesa za NSSF. so msitegemee angeweka wazi maovu yaliyokuwa yakifanyika huko.

pamoja na hilo pia zitto ana sababu nyingine ambayo leo sitaitaja hiyo inamweka kwenye kundi la watu wa kumtetea dr dau kama wale wengine waliokuwa wanakula futari na daku jinsi wanavyomtetea dr dau au mdau wao kwa kuwa alikuwa akiwalisha chochote kitu. hawa siku zote watamtetea kwa maovu yake na kumfanya kuwa kama malaika.
 
Nafikiri sasa unafiki wa huyu mzalendo unaonekana. Leka tutigite, na imani yetu na alternative income ambayo ilimsababisha awe mzalendo hadi wa kukataa posho za kukaa bungeni vinahusika.
 
Do we take seriously Hon. Zitto? Namuheshimu sana JPM maana ni mwanaume wa kweli. Haachi jiwe lisigeuzwe pale inapobidi. Wengine kama kawaida ni waganga njaa. Tukumbuke pia baadhi ya kamati za sasa za bunge zimetumbukia kwenye mashimo sababu za kutuhumiwa rushwa
 
PAC siyo Auditing Firm na wala siyo kazi ya PAC kufanya Auditing, Ni kazi ya CAG kufanya Auditing, na kuleta mapendekezo ambayo PAC inayafanyia kazi!
Wanaomlaumu Zitto katika hili nadhani hawajui limitations za PAC katika kufanya kazi zake!
 
Back
Top Bottom