MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #21
Ninakubaliana na angalizo lako.Hata Chadema walimtuhumu sana Masha kupitia Chamber Yake kwa Ufisadi Mkubwa wa EPA , Meremeta nk na wakamkabili Jimboni mpaka akaanguka 2010 na wakamtuhumu kwa Ubadhirifu wa Vitambulisho vya Taifa mpaka Masha Nusura alie Bungeni Enzi zile akijitetea lakin ha kushangaza Huyu Huyu Masha ndio anaonekana Mgombea bora zaid wa Chadema kwny EALA na hata alipokataliwa Bungeni akarudishwa tena!
Kama Masha ndio Mgombea bora zaid ki maadili Pamoja na Scandle zote walizotoa Chadema Wenyewe hao waliobaki huko sijui wakoje ki maadili!
Ninashindwa pia kuelewa CHADEMA walikuwa wanatuma ujumbe gani kwa kumteua Masha mara mbili kuwa mgombea ubunge wa EALA wakati wanafahamu tuhuma zake.