Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Sishangilii, nahoji. Ujue unapopigania kitu, kabla ya kuanza kupambana unatakiwa ujiulize ni nini utapata, au watu watapata mwisho wa mbio zao. Usipoteze tu nguvu, muda na fedha unakimbizana ukiulizwa unajibu eti sheria. Sheria IPO kama njia tu ila sio main cause wala effect, nilisema humu juzi.Sheria inavunjwa unashangilia, duh utaahira haujawahi kumuacha mtu salama