Huwa naamini ipo siku Serikali itapitisha mwezi kama siyo miezi kutolipa Watumishi,naongea kwa fact na siyo porojo,hii Serikali siyo rafiki wa Wafanyabiashara wa ndani na nje,hii Serikali inajua tu kukusanya tu kodi lakini haijui kuboresha mazingira ya walipa kodi hasa Wafanyabiashara,haitaki ukweli eg ilivyoshauriwa na bilionea wa Nigeria kuhusu sera ya uwekezaji,kuwasahau Wakulima,kutokuwa na Dira ya maendeleo,kuchukua fedha zote za walipa kodi na kuipeleka kujenga miradi au kununua kitu kisicho na faida kwa wakati huo,sikatai bali ingetangaza kandarasi na ingie mkataba mkubwa na makampuni juu ya ujenzi au ununuaji kwa mkopo na iwe inalipa kwa awamu na siyo pesa taslimu kama ilivyo sasa,na inatakiwa kujikita kutoa huduma kwa Wananchi wake,kuyawezesha mabenki na siyo kuyapeleka Benk kuu ili kuwa na mzunguko wa kifedha Nchini na n.k