Kuichagua ccm ni kuchagua matatizo.
Miaka 50+ sera zimegonga mwamba Huezi sema tena Ujamaa na kujitegemea mbele za watu kwa kujiamini falisafa yao hiyo Imedumaa. Matokeo yake leo kuna Mafisadi yaani hao ni matajiri wezi ndani ya UJAMAA huku Tunaomba Misaada mpaka Huruma ndio sisi mpaka leo hatuna hata Ndege ya kupigia picha ndo Kujitegemea huko.