technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,647
- 58,453
Zitto Kabwe pamoja na kutoka Kanda ya ziwa maafa ya Bukoba hajatia mguu Kagera. Zaidi ya kutoa pole kwenye fecebook. Hivi anafikiri maafa kama yameweza kuikuba Bukoba hayawezi ikumba Kigoma?
Wakati yote ni Kanda ya ziwa na Kigoma kwenye ziwa Tanganyika ambalo ni lift valley lake. Na yeye mkoa Jirani na kwake ni Bukoba.
Je ikitokea kwenye jimbo lake hataenda pia?
Kwanini anajifanya ni mtetezi wa watanzania wakati ni tapeli hatumuoni kwenye maafa?
Huyu kweli ni mtetezi hewa wa Tanzania.
Utamukuta Facebook tu akijisifia, akiisifia ACT, au kumsifia meya wa kigoma;
Zitto ni mnafiki kweli sio mtu wa kumuamini tena, labda nimkumbushe tu Tanzania ni yetu sote iwe Bukoba Kigoma Mtwara wote ni ndugu na janga linaweza tokea sehemu yeyote.
Wakati yote ni Kanda ya ziwa na Kigoma kwenye ziwa Tanganyika ambalo ni lift valley lake. Na yeye mkoa Jirani na kwake ni Bukoba.
Je ikitokea kwenye jimbo lake hataenda pia?
Kwanini anajifanya ni mtetezi wa watanzania wakati ni tapeli hatumuoni kwenye maafa?
Huyu kweli ni mtetezi hewa wa Tanzania.
Utamukuta Facebook tu akijisifia, akiisifia ACT, au kumsifia meya wa kigoma;
Zitto ni mnafiki kweli sio mtu wa kumuamini tena, labda nimkumbushe tu Tanzania ni yetu sote iwe Bukoba Kigoma Mtwara wote ni ndugu na janga linaweza tokea sehemu yeyote.