nimeipenda hii kitu
MWIGULU though sijawahi kukusikia ndo leo hapa nimepata news,sikia:
1.kuwa na A ya somo fulani na kupata Hons. si sababu ya kukufanya uwe na uwezo katika utendaji kazi,suala la kutekeleza ulichokisomea linaonekana ktk "positive output" inayoleta suluhisho sahihi/kutatua tatizo ktk jamii.
2.kuna A nyingi sana tu za kkopi na kupest vyuoni,kuna A za kudesa,kuna A za kucheat kwa namna nyingi tu.
3.msomi halingii "cheti" alichonacho bali utekelezaji wenye akili,nini unawafanyia wanainchi chenye manufaa?ss anapolipuka ktk redio nina nini na nini sisi hatuhitaji kuona cheti chake kila mtu kasoma bwana!!ata wasiosoma wana akili zao kwa namna ya maisha wanavyoyamudu bwana!
4.ivi unapotetea bajeti ya nchi unaangalia chama cha manjano na kijani au manufaa ya wanainchi???
5.ingawa siangalii bunge thz days,,,kitendo chako cha kutupa bajeti ya upinzani bungeni inaonyesha upeo wako mdogo sana/finyu na ulimbukeni wa hali ya juu na kushindwa kwako kabisa kupanga hoja na kwamba unatetea ugali wako kwa namna hiyo unasikitisha sana(ebu tuelezee je ndio maana ya A yako ya uchumi wa WB??kwani WB ni kitu gani bwana?sisi tunataka A za kiutendaji na si za kupamba ukutani),sisi tunajua mwenye A na kutambulika WB wanakaa mezani na kupanga na kupangua hoja kwa akili na UTEKELEZAJI wake positively kwa wanainchi.
6.ivi KOMBA.....?
nimeipenda hii kitu
MWIGULU though sijawahi kukusikia ndo leo hapa nimepata news,sikia:
1.kuwa na A ya somo fulani na kupata Hons. si sababu ya kukufanya uwe na uwezo katika utendaji kazi,suala la kutekeleza ulichokisomea linaonekana ktk "positive output" inayoleta suluhisho sahihi/kutatua tatizo ktk jamii.
2.kuna A nyingi sana tu za kkopi na kupest vyuoni,kuna A za kudesa,kuna A za kucheat kwa namna nyingi tu.
3.msomi halingii "cheti" alichonacho bali utekelezaji wenye akili,nini unawafanyia wanainchi chenye manufaa?ss anapolipuka ktk redio nina nini na nini sisi hatuhitaji kuona cheti chake kila mtu kasoma bwana!!ata wasiosoma wana akili zao kwa namna ya maisha wanavyoyamudu bwana!
4.ivi unapotetea bajeti ya nchi unaangalia chama cha manjano na kijani au manufaa ya wanainchi???
5.ingawa siangalii bunge thz days,,,kitendo chako cha kutupa bajeti ya upinzani bungeni inaonyesha upeo wako mdogo sana/finyu na ulimbukeni wa hali ya juu na kushindwa kwako kabisa kupanga hoja na kwamba unatetea ugali wako kwa namna hiyo unasikitisha sana(ebu tuelezee je ndio maana ya A yako ya uchumi wa WB??kwani WB ni kitu gani bwana?sisi tunataka A za kiutendaji na si za kupamba ukutani),sisi tunajua mwenye A na kutambulika WB wanakaa mezani na kupanga na kupangua hoja kwa akili na UTEKELEZAJI wake positively kwa wanainchi.
6.ivi KOMBA.....?
kweli mwigulu ni kilaza%.. A, ya public finance inahusikaje na bajet? Bajet its about planing.. Ni financial planners ndo wanatakiwa hapo .. A, ya darasan its neva applicable in real life,, na umalaya wake akafumaniwa igunga kule.. Anaropoka tu.. Na baadhi ya wagonga meza na washabiki wa ccm wanakurupukia mambo na kumshabikia.. Co..bdouglas anayo iongelea tunaifaham.. Na zito ni genius sana.. Alafu marine ajipange mambo ya kuwaita watu kwenye interview arafu anawapangiana kuwa limit cha kuongea sio poua..!
Sema ''watch them on TBC now'' siyo ''tune on TBC now.''
Leo nimesikia Mwigulu sasa anadai wapinzani wanapinga bajeti kwasababu wanatumiwa na nchi za magharibi wanaotaka kupora rasilimali za nchi.
Nimejiuliza kidogo, wamekuwa wanapora dhahabu, tanzanite, almasi mpaka wanyama wazima wazima. Hivi leo ndio tunakumbuka kwamba kuna rasilimali za nchi?