Zito na Jafo ni baadhi ya wabunge waliojitolea kutetea masilahi ya fao la kujitoa la wanachama wa mifuko ya Jamii.
Hili tatizo la NSSF inabidi liangaliwe kwa Jicho la Tatu. NSSF inachangiwa kwa asilimia kubwa na wafanyakazi wa Sekta binafsi ambao ni Ngumu kupata dhamana na mkopo katika Taasisi za Fedha.
Ni ajabu kusema mtu afanye kazi mpaka afikishe umri wa kustaafu ndipo ajenge nyumba ya Kuishi.... Maisha bora hapa yako wapi?
Kama mtu ana amana katika NSSF inayofikia millioni 10 mpaka 20? Je NSSF haiwezi kumdhamini akope benki direct?
Mikopo ya NSSF kupitia SACCOS wanayotangaza ni migumu sana almost impossible.
Hili ni Tatizo la mifuko hii kutawaliwa na watu ambao si wafanyakazi, watendaji wa hii mifuko hawatokani na wafanyakazi... Hawajui machungu ya wafanyakazi.
Hili ni Suala la Kitaifa, halina dini wala itikadi ya kisiasa. Huku NSSF kuna wana CCM wanaumia, kuna wana ACT wanaumia, Kuna wana CUF wanaumia, TLP n.k
Kwa hiyo tunaomba kusikia sauti za Wanasiasa katika hili.
Hili tatizo la NSSF inabidi liangaliwe kwa Jicho la Tatu. NSSF inachangiwa kwa asilimia kubwa na wafanyakazi wa Sekta binafsi ambao ni Ngumu kupata dhamana na mkopo katika Taasisi za Fedha.
Ni ajabu kusema mtu afanye kazi mpaka afikishe umri wa kustaafu ndipo ajenge nyumba ya Kuishi.... Maisha bora hapa yako wapi?
Kama mtu ana amana katika NSSF inayofikia millioni 10 mpaka 20? Je NSSF haiwezi kumdhamini akope benki direct?
Mikopo ya NSSF kupitia SACCOS wanayotangaza ni migumu sana almost impossible.
Hili ni Tatizo la mifuko hii kutawaliwa na watu ambao si wafanyakazi, watendaji wa hii mifuko hawatokani na wafanyakazi... Hawajui machungu ya wafanyakazi.
Hili ni Suala la Kitaifa, halina dini wala itikadi ya kisiasa. Huku NSSF kuna wana CCM wanaumia, kuna wana ACT wanaumia, Kuna wana CUF wanaumia, TLP n.k
Kwa hiyo tunaomba kusikia sauti za Wanasiasa katika hili.