Zitto na Arusha

Gwota

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
205
92
Wa ndugu,

Huyu jamaa wakati kamati kuu inamalizika na kutangaza mikutano ya jana ya Arusha juu ya kuwaelewesha wananchi juu ya upuuzi wa uliofanya na madiwani wale ilitangazwa atakuwepo, Cha ajabu sijamsikia.Kama kuna anayejua sababu za huyu mtu kukosa wakati viongozi wenzake wote walikuwepo atujuze. Nina wasiwasi sana na huyu mtu amerudia tabia yake ya kujitenga na jeshi letu la ukombozi.
 
Zitto Kabwe ndiye pekee anayeweza kuitwa kiongozi ktk CDM. Hivyo usishangae kwamba hana muda wa kushiriki ktk mazoezi ya usanii wa akina Mbowe, Slaa na Lema.
 
Zitto Kabwe ndiye pekee anayeweza kuitwa kiongozi ktk CDM. Hivyo usishangae kwamba hana muda wa kushiriki ktk mazoezi ya usanii wa akina Mbowe, Slaa na Lema.
<br />
<br />

Kweli kauli ya Masaburi itakuwa sahihi. "Kuna watu wanafikiria kwa kutumia makalio". Utakuwa ni m1 wao!
 
sio lazima awepo kila sehem, zito ni mwenzetu ndan ya cdm, yani kwa arusha zungumzien bro lema, yan hata hao wengine wakiwa bize sis ilimrad 2mwone lema baaasi 2nauwezo wa kuleta mageuzi yenye faida kwa kila mtz
 
Kama mjuavyo bunge lilikuwa linaendelea wasingeweza kuondoka wote mbowe ambae ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni halafu naibu wake Zitto nae asiwepo. Zitto alibaki kuendesha masuala ya kambi rasmi kama alivyoonekana kuwasilisha kauli ya kambi ya upinzani kuhusu mjadala wa mafuta lakini huku mbowe akiendeleza mikutano na ufunguzi wa matawi ya chadema.
 
Kama huna post za maana za kushea humu sio lazima uanzishe thread, mbona Shibuda hakwenda na hauulizi? John Mnyika alikwenda Arusha? am tired na thread za Zitto.
 
Back
Top Bottom