Zitto na Mtatiro hawa ni kama mapacha, wanaweze kuandika lolote lakini wasiguswe. Kama Lema au Mdee ndio anaandika kama wanavyoandika hao wameshafikishwa mahakamani. Huyu nae atamfata pacha wake karibuni kuunga mkono kwa Jiwe ukiona kitambaa kitandani kina kazi yake.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ