Zitto: Kwanini mimi ni mwanasiasa...

mungu ambariki, ila ahakikishe hapotezi taswira ya makamanda.kuleta mabadiliko tanzania.
 
mungu ambariki, ila ahakikishe hapotezi taswira ya makamanda.kuleta mabadiliko tanzania.

Mfarijini lakini hadi sasa makamanda tumeshamsahau na hatumtofautishi na misukule ya lumumba! wasaliti wote chali na watajibeba muda si mrefu.
 
zito zoto zoto zito tunapambana na zito nchi inatafunwa huko..........hatuna la kufanya kama zito kasvuliwa nyazifa zote.....kwani hatuna kingine cha kujadili?
 
sasa alichoandika hapo zitto mwambie Lema, msigwa au sugu warudie kuandika, mtacheka mpaka kesho
 
Mfarijini lakini hadi sasa makamanda tumeshamsahau na hatumtofautishi na misukule ya lumumba! wasaliti wote chali na watajibeba muda si mrefu.

Mtahaha sana mwaka huu mpaka mtatoa haja kubwa hadharani
 
Hayo ni maneno tu, hata ww unaweza kusema na kuandika kwenye blog yako. Mtu anapimwa kwa matendo yake, hata kwa Mungu tunapimwa kwa matendo yetu kwanza, na inakuwa vizuri maneno yako yaendane na vitendo vyako.
hatuko narrow minded kama wewe kibavicha, tunaangalia mambo kwa mapana yake.
kabla ya 2009 Zitto alikuwa mtakatifu na hero kwa chadema ila alipoenda kuchukua form ya kumchallange mkwe wa hayatulah mtei ndo tunaona haya yote. na tangu kipindi kile mpaka leo bado mnaendelea kumchafua. we all know. tatizo ni uenyekiti. Zitto ni yuleyule ila mnamchafua kwa makusudi. siamini kama kweli kuna mkono wa ccm. hatujasahau yaliyomkuta chacha wangwe kwa kumchallange mkwe wa hayatulah mtei.
kama mbowe anajiamini katika uongozi wake kwa nini amhofie zitto wakati kapu lakura bado lingembeba?
hata kama hatujui kusoma hata picha ukutani hatuioni? funguka, otherwise utatumika sana.
 
Back
Top Bottom