Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,157
- 2,268
tutakuwa pamoja makamanda wote kwenye viwanja vya mahakama ya mwanzo nguzo8
Tutakuwa pamoja nguzo 8
tutakuwa pamoja makamanda wote kwenye viwanja vya mahakama ya mwanzo nguzo8
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema
Tutakuwa pamoja nguzo 8
Zitto akishahutubia tu, thread hi itafungwa na watu hawataruhusiwa kujadili kile alichokisema.
Where are we going?
Zitto akishahutubia tu, thread hi itafungwa na watu hawataruhusiwa kujadili kile alichokisema.
Where are we going?
Hivo ndivo tunavyotaka, viongozi wote wa chama wajenge chama na sio majungu, kama kina lema! Hongera zitto!
Huna lolote we mbulula. Na hayo majitu ya kasikazini yakae yakijua ikulu hayakanyagi. Nyerere aliacha amekataza haya mabinafsi yasikanyage ikulu.
vita vya panzi........
Wameshalegea hawa,ni kuzidisha fitna tu,lazima wagawane mbao!!!l
"Shetani hajawahi kumfikira mazuri binadamu, labda shetani mwenzake" Oktoba 2011 by Ust Rajabu Mzee>
teh teh, mkuu umeshafika huko...Hizi zinaitwa za chembe. Chukua ujumbe katika quruani (2:120) halafu jitadhmini.
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema