nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Hivo ndivo tunavyotaka, viongozi wote wa chama wajenge chama na sio majungu, kama kina lema! Hongera zitto!
Zitto akishahutubia tu, thread hi itafungwa na watu hawataruhusiwa kujadili kile alichokisema.
Where are we going?
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.
Zitto ni chaguo la watanzania. Mungu akutangulie mkuu zitto!hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema
vipi? na ile kadi ya ccm anayomiliki slaa amerudisha au bado anayo!
Ile Kadi angekuwa nayo Zitto hapo sijui Lema angesemaje na Ben wake pamoja na Mungivipi? na ile kadi ya ccm anayomiliki slaa amerudisha au bado anayo!
Hii ndo tofauti ya Mikutano ya Zitto na Mbowe Family(lema,Slaa)zitto anajenga Chama wao Wanatunyonya,mikutano ya Mbowe Family wanatumia Chopa(gharama kubwa)Zitto anatumia gari kutembea
Zitto jenga ili ruzuku iongezeke ili Josephine atumie
"Shetani hajawahi kumfikira mazuri binadamu, labda shetani mwenzake" Oktoba 2011 by Ust Rajabu Mzee>Awe makini na red brigade ya slaa isije msababishia majeraha.
Hii ndo tofauti ya Mikutano ya Zitto na Mbowe Family(lema,Slaa)zitto anajenga Chama wao Wanatunyonya,mikutano ya Mbowe Family wanatumia Chopa(gharama kubwa)Zitto anatumia gari kutembea
Zitto jenga ili ruzuku iongezeke ili Josephine atumie
"Shetani hajawahi kumfikira mazuri binadamu, labda shetani mwenzake" Oktoba 2011 by Ust Rajabu Mzee>
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.
Huna lolote we mbulula. Na hayo majitu ya kasikazini yakae yakijua ikulu hayakanyagi. Nyerere aliacha amekataza haya mabinafsi yasikanyage ikulu.
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema
Mijitu ya kaskazini hutokwa povu ikisikia jina ZITTO.Ndani ya chadema hakuna kama zitto,wengine mbulula tu