Zitto kuhutubia Shinyanga leo

Zitto kuhutubia Shinyanga leo

Hivo ndivo tunavyotaka, viongozi wote wa chama wajenge chama na sio majungu, kama kina lema! Hongera zitto!
 
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.

vipi? na ile kadi ya ccm anayomiliki slaa amerudisha au bado anayo!
 
Hii ndo tofauti ya Mikutano ya Zitto na Mbowe Family(lema,Slaa)zitto anajenga Chama wao Wanatunyonya,mikutano ya Mbowe Family wanatumia Chopa(gharama kubwa)Zitto anatumia gari kutembea
Zitto jenga ili ruzuku iongezeke ili Josephine atumie
 
Hii ndo tofauti ya Mikutano ya Zitto na Mbowe Family(lema,Slaa)zitto anajenga Chama wao Wanatunyonya,mikutano ya Mbowe Family wanatumia Chopa(gharama kubwa)Zitto anatumia gari kutembea
Zitto jenga ili ruzuku iongezeke ili Josephine atumie

Wewe si Chadema, pole kwa kujifanya unakijali sana Chadema kumbe unafurahi tukiwa kwenye msigano.
 
Hii ndo tofauti ya Mikutano ya Zitto na Mbowe Family(lema,Slaa)zitto anajenga Chama wao Wanatunyonya,mikutano ya Mbowe Family wanatumia Chopa(gharama kubwa)Zitto anatumia gari kutembea
Zitto jenga ili ruzuku iongezeke ili Josephine atumie

Vibaraka wa Lumumba mnahangaika sana kumshabikia huyu mtu wenu..
 
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.

Wana CHADEMA tusibishane sana kwani SIASA ni safari ndefu,mbeleni tutajua pumba ni zipi na ngano ni ipi. Kwa hali ya kisiasa hapa Tz ukweli TAHADHARI ni muhimu kuchukuliwa hasa kwa wale wanaosadikiwa ni mamluki wa chama tawala hilo si jambo la kupuuzia. Bali kwa suala la Zitto,true colors zitajitokeza it is just a matter time.....real i hate traitors if so.
 
Chadema sio tu inamwitaji zito, inawahitaji wananchi wote ambao sio wanachama wa chadema ili kuchukua dola

Sasa hizi dharau za kuhisi mtu asie mwanachadema hana faida ni umbumbu na kutokuelewa sayansi ya siasa.
 
Huna lolote we mbulula. Na hayo majitu ya kasikazini yakae yakijua ikulu hayakanyagi. Nyerere aliacha amekataza haya mabinafsi yasikanyage ikulu.

Mijitu ya kaskazini hutokwa povu ikisikia jina ZITTO.Ndani ya chadema hakuna kama zitto,wengine mbulula tu
 
Mijitu ya kaskazini hutokwa povu ikisikia jina ZITTO.Ndani ya chadema hakuna kama zitto,wengine mbulula tu

Inawezekana hujapiga mswaki mpaka saa hizi, that why unaongea utumbo na harufu ya mavi inakutoka wewe GAMBA aka Books 7
 
Back
Top Bottom