Zitto kuhutubia Shinyanga leo

Zitto kuhutubia Shinyanga leo

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe leo majira ya saa 9 mchana atuwahutubia Wananchi wa Shinyanga Mjini (kuwasilimu) akiwa njiani kuelekea Mkoani Mwanza. Wote mnakaribishwa
 
Awe makini na red brigade ya slaa isije msababishia majeraha.
 
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema
 
Zitto akishahutubia tu, thread hi itafungwa na watu hawataruhusiwa kujadili kile alichokisema.

Where are we going?
 
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema

Huna lolote we mbulula. Na hayo majitu ya kasikazini yakae yakijua ikulu hayakanyagi. Nyerere aliacha amekataza haya mabinafsi yasikanyage ikulu.
 
hata akizunguka nchi nzima yeye bado nimnakfi tu na wala hatupi shida chadema

sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.
 
Wenyewe wapo ofisini wanamalizia ruzuku ya chama ya mwezi huu kwa kukuchafua wewe, ila we ni ng'ome imara upo bize kukijenga chama na kushugulikia matatizo ya watanzania. Zito songa mbele ukombozi wa taifa hili unategemewa kupatikana kupitia kwako.
 
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe leo majira ya saa 9 mchana atuwahutubia Wananchi wa Shinyanga Mjini (kuwasilimu) akiwa njiani kuelekea Mkoani Mwanza. Wote mnakaribishwa

I like Zitto's spirit.. of moving forward ever...
 
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.

Zitto aachwe afanye kazi ya ukombozi wababaishaji wamuache ametumia zaidi ya nusu ya maisha ya umri wake kuijenga chadema hawezi kuamua eti kuisaliti au kuibomoa! I seriouly doubt it!
 
Huo ndio ukwel hata ukiiniita jina gani, mtatoka povu sana misukule ya Zitto lakin hamtaweza kuiua chadema kwa mgongo wa kuijenga
 
sio wanaCDM wote tunaomuona kama unavyomuona wewe, kwetu sisi huyu bado ni kiongozi wetu, ni NAIBU KATIBU MKUU WETU, hizo tuhuma zenu za kihunihuni mlizoamua kumtengenezea huko vichochoroni hazituumizi vichwa.
siku chama kitakapothibitisha ana makosa, kitatufahamisha na hatua za kuchukuliwa, bila shaka katiba yetu ya CDM ipo wazi na haifichifichi mambo kama kama nyie mamluki mliojipachika uanachama wa CDM huku mkichangia kukigawa chama kwa kubagua viongozi kwa malengo mnayoyajua nyie.[/QU

haujui kitu mamdogo tulia, jiulize kwann baada ya chdema kuweka wazi mawasiliano ya zitto kushilikiana na usalama wa taifa kukihujumu chadema soon after that wafanyakazi wa Tigo walifukuzwa kazi ?Zitto ni mnafki anayetumiwa na CCM na ndio maana wanao mtetea kalibia wote ni wanachama wa chama cha mapinduzi ,kwani wanajua kuumbuka kwa zitto ni km kutegua mtego wao walio utega ndani ya chadema
 
Back
Top Bottom