Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
"Chama chetu mnamo Agosti 06, kiliteua mgombea Urais na Mgombea Mwenza ndugu Luhaga Mpina na Mama Farma Ferej lakini Kwa sababu wanamuogopa sana mgombea wetu wakaanza kuweka vizingiti kumzuia mgombea wetu"
Hayo yamesemwa leo Septemba 22, 2025 na Zitto Kabwe Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo ambaye ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni Kata ya Vingunguti Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam
Hayo yamesemwa leo Septemba 22, 2025 na Zitto Kabwe Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo ambaye ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni Kata ya Vingunguti Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam