Zitto Kabwe Ubunge atausikia redioni tu, CCM ni mafundi sana kumpelekea Baba Levo!

Zitto Kabwe Ubunge atausikia redioni tu, CCM ni mafundi sana kumpelekea Baba Levo!

Anayegombea ubunge Kigoma mjini kwa ticket ya ACT ni Abdul Nondo
 
Zitto Kabwe hamuwezi kabisa Baba Levo kwenye ulingo wa siasa za Kigoma

Mlale unono 🙏
Hapana kwakuwa wengine wameisha jiweka wazi kwenye hisia za kidini itabidi tumchague zito kiimani kama isingekuwa wakristo kumchukia samia kwa sababu zakidini zito asingepita
 
Ni moja ya Ile mipango yakuwapa Jimbo ACT.
ushindani utakuwa mkubwa sana Ila at the end ZZK atashinda.

safarini Khartoum Sudani.
 
Na
Zitto Kabwe hamuwezi kabisa Baba Levo kwenye ulingo wa siasa za Kigoma

Mlale unono 🙏
Naona unaongea kinyume
Hapo amepelekwa Ba Levo ili Zitto Kabwe ashinde aje awe Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani..Kumbuka Zitto hakugombea U-RAIS na hajawahi kukosoa utawala wa Samia hilo jimbo ni kama Hisani
 
Zitto ndio atawajua CCM wakishakutumia wakakuchika,wamuulize Lipumba na Magdalena Sakaya
 
Back
Top Bottom