Zitto Kabwe: Tunakwenda Arusha kesho

Waziri kivuli wa fedha Mh.ZITTO KABWE hatasoma bajeti ya kambi ya upinzani kwani wabunge wote wa CHADEMA watakwenda ARUSHA kesho.SOURCE FACEBOOK WALL YA ZITTO MUDA HUU.
Wampe ndungai tu halafu waondoke. Wasira anaweza kuisoma, si bado ana kadi ya NCCR?
 
hiyo bajet ya upinzani haina maana yeyote, ni bora waende Arusha kutafuta sifa, siasa za matukio kama kawaida yao.
 
Kwa ccm ni furaha! Kamwe hawataahirisha kwa jinsi ninavyowajua hawa ccm
 
Shibuda vipi?


Aliingia chadema kama pandikiz la ccm akidhan atakibomoa chama, kilichompata akiwa chadema hawez amin, maana uongoz haujamshirikisha kitu chochote ivyo kashindwa kufanya kilichompeleka na sidhan kama 2015 auagombea kupitia chadema
 
Shibuda vipi?

Aliingia chadema kama pandikiz la ccm akidhan atakibomoa chama, kilichompata akiwa chadema hawez amin, maana uongoz haujamshirikisha kitu chochote ivyo kashindwa kufanya kilichompeleka na sidhan kama 2015 auagombea kupitia chadema
 
Twendeni arusha makamanda tukalie na maskini wenzetu waliodhulumiwa uhai wao kwa udhalimu wa masisiem,tuwaachie bunge lao walale,wajampe na wakiamka waunge mkono hoja mia kwa mia!
Tutaionyesha dunia kwamba tanzania si mahala salama tena hasa kwa shAitwani nyinyiem anayekwenda kujifia,wamebaki wakiimba amani midomoni mwao kwa unafiki wao.......Aluta continue!!!!
 
na wewe kumbe ni mav. Tu huwezi kucheza na maisha ya watanzania hivi. Munaua watu halafu mnataka tubakie kimya. Suala la bajeti hata wabunge wote wawepo haitasaidia kitu maana wauaji ni wengi kuliko magwanda.
 

Umetisha sana kaka yangu!
 

Dats wats up brother wamezoea hao!
 

Mmevua magamba! Kilicho baki hamuwezi kukaa uchi ila tutawavalisha MAGWANDA! Mtasilimishwa tuu mtake mstake c mmevua wenyewe?
 
Facebook na twitter hazijanishawishi kuwa mwanachama hai kwani naona kama kuna uvulana na usichana mwingi huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…